Prince Kunta
JF-Expert Member
- Mar 27, 2014
- 22,797
- 28,904
Ministries, Departments and AgenciesNaomba kuuliza MDA ni kirefu Cha Nini ndugu?
Idara zinazojitegemea na Wakala wa Serikali(MDAs), Wizara na Idara za serikali kuu(MDAs)Naomba kuuliza MDA ni kirefu Cha Nini ndugu?
Mzee status yko ya account kweny post uliyopt kz imeandikajeHahaha still jobless siku nikiingia job nitakuja hapa kutoa ushuuda π€£π€£
ππππBora meck pro atupe muongozo hapaMzee status yko ya account kweny post uliyopt kz imeandikaje
ππππStress za ujobless zinatesa sana aseehEe atupe ushuhuda π€£
Acha t mzee unaweza kuzeeka kbla y umri π€£ππππStress za ujobless zinatesa sana aseeh
πππππAcha t mzee unaweza kuzeeka kbla y umri π€£
Hasa pale kwenye notificationMzee status yko ya account kweny post uliyopt kz imeandikaje
Mzee status yko ya account kweny post uliyopt kz imeandikaje
ππππBora meck pro atupe muongozo hapa
Ee atupe ushuhuda π€£
ππππStress za ujobless zinatesa sana aseeh
Acha t mzee unaweza kuzeeka kbla y umri π€£
Hahahaha wakuu ni selected for oral interview number psrs ........... View Time tableHasa pale kwenye notification
Ahaa duh hzi status kwel hazielweki bora kua wapole tusbrie mkeka wa placement maisha yaendleeHahahaha wakuu ni selected for oral interview number psrs ........... View Time table
Yan kifupi kama tu matokeo yakitoka kwenda kufanya oral π€£π€£
Kwahiyo za shortlisted tujue tumekandwa au sio?ππππππHahahaha wakuu ni selected for oral interview number psrs ........... View Time table
Yan kifupi kama tu matokeo yakitoka kwenda kufanya oral π€£π€£
Hamna mzee acha was was π€£Kwahiyo za shortlisted tujue tumekandwa au sio?ππππππ
πππMzee Hawa utumishi wataniua ujue hahhhh yani nna aina kama nne za status pale asa sielewi yaniHamna mzee acha was was π€£
Hamna mzee acha was was π€£
Hii umeandikiwa lini mkuuKwahiyo za shortlisted tujue tumekandwa au sio?ππππππ
Muda sana kuanzia siku niliyotoka kwenye oral kesho yake tu ikawa shortlisted mpaka leoHii umeandikiwa lini mkuu
Kwahiyo za shortlisted tujue tumekandwa au sio?ππππππ
Kuna ushaidi pia shortlisted mtu kapata kazi Kuna Uzi upo hapa jukwaa la Ajia unahusu status ya account na niliona umecomment Kuna mtu wa comment ya Mwisho anasema kapata kazi so anasema shortlisted=placement
asa hapo ndo hatujaelewa kuwa ikiandika shortlisted ndo umepata au vipi yaniKuna ushaidi pia shortlisted mtu kapata kazi Kuna Uzi upo hapa jukwaa la Ajia unahusu status ya account na niliona umecomment Kuna mtu wa comment ya Mwisho anasema kapata kazi so anasema shortlisted=placement