Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Naomba kuuliza MDA ni kirefu Cha Nini ndugu?
Idara zinazojitegemea na Wakala wa Serikali(MDAs), Wizara na Idara za serikali kuu(MDAs)

Rejea: Tangazo la kuitwa kwenye Usahili la jana, Ripoti ya CAG
 
Mzee status yko ya account kweny post uliyopt kz imeandikaje

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Bora meck pro atupe muongozo hapa

Ee atupe ushuhuda 🀣

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Stress za ujobless zinatesa sana aseeh

Acha t mzee unaweza kuzeeka kbla y umri 🀣

Hasa pale kwenye notification
Hahahaha wakuu ni selected for oral interview number psrs ........... View Time table
Yan kifupi kama tu matokeo yakitoka kwenda kufanya oral 🀣🀣
 
Hahahaha wakuu ni selected for oral interview number psrs ........... View Time table
Yan kifupi kama tu matokeo yakitoka kwenda kufanya oral 🀣🀣
Ahaa duh hzi status kwel hazielweki bora kua wapole tusbrie mkeka wa placement maisha yaendlee
 
Hahahaha wakuu ni selected for oral interview number psrs ........... View Time table
Yan kifupi kama tu matokeo yakitoka kwenda kufanya oral 🀣🀣
Kwahiyo za shortlisted tujue tumekandwa au sio?πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Kuna ushaidi pia shortlisted mtu kapata kazi Kuna Uzi upo hapa jukwaa la Ajia unahusu status ya account na niliona umecomment Kuna mtu wa comment ya Mwisho anasema kapata kazi so anasema shortlisted=placement
 
Kwahiyo za shortlisted tujue tumekandwa au sio?πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Kuna ushaidi pia shortlisted mtu kapata kazi Kuna Uzi upo hapa jukwaa la Ajia unahusu status ya account na niliona umecomment Kuna mtu wa comment ya Mwisho anasema kapata kazi so anasema shortlisted=placement
 
Kuna ushaidi pia shortlisted mtu kapata kazi Kuna Uzi upo hapa jukwaa la Ajia unahusu status ya account na niliona umecomment Kuna mtu wa comment ya Mwisho anasema kapata kazi so anasema shortlisted=placement
asa hapo ndo hatujaelewa kuwa ikiandika shortlisted ndo umepata au vipi yani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…