Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Na kuna wale hawan written ni oral tuuu
Mkiwa wachache halafu kada yenu haina prac, mtaenda oral moja kwa moja.

Ila kama ina Prac, mtaanzia hapa. Mkikandwa hamuendi oral hata kama mpo 2 au mmoja.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]oya hapo juu siwamesema selected for oral ndo inakuwa umekula shavu la kazi??
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Utajua hujui placement ikitoka.

Ila tuombe Muumba afanye miujiza
 
Mkiwa wachache halafu kada yenu haina prac, mtaenda oral moja kwa moja.

Ila kama ina Prac, mtaanzia hapa. Mkikandwa hamuendi oral hata kama mpo 2 au mmoja.
😂😂😂😂😂Hahhhh wakikandwa au sio?
 
Back
Top Bottom