ery mendez
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 298
- 626
Mpka pdf zitoke tutakua tumenyookaKizungumkuti cha status hahaha....utumishi watatuua jobless 🤣
😂😂😂😂😂Wanatuua kisaikolojiaKizungumkuti cha status hahaha....utumishi watatuua jobless 🤣
😂😂😂😂Mpka pdf zitoke tutakua tumenyooka
Pdf ndo msema kweli😂😂😂😂
Hivi bado mkeka/mikeka gani awajaita saili maana naona kama yote wameshaita
Naot bado na tra piaHivi bado mkeka/mikeka gani awajaita saili maana naona kama yote wameshaita
Na tra ndo inajazaga uwanja wa taifa hahhh😂😂Naot bado na tra pia
Hatar mkeka wa taifa huoNa tra ndo inajazaga uwanja wa taifa hahhh😂😂
Wanafanya kazi wakinywa juisi taratiiibuHaha Mkeka mrefu kiaje kama mchujo ulifanyika kwenh Written.
Halafu nafasi zenyewe ni moja moja kwa kila kada [emoji23][emoji23][emoji2][emoji2][emoji2]
Mambo hayo yanaweza kuchochea upendeleo au rushwa au nadanganya ndugu zanguniHawajajipanga utumishi bado hawawezi kurun zoezi la interview kwa haraka sababu kubwa ni uhaba wa nguvu kazi. Hiyo inatakiwa tàasisi kama NECTA
Tanzania ya michakato mirefu na ufanisi kidogoSIO KAZI NDOGO KUCHAKATA MAJINA YOTE YALE NA KUYAWEKA SAWA
Tanzania ya michakato mirefu na ufanisi kidogo
Muda wote na bado wanawakata watu bila sbb za msingiTanzania ya michakato mirefu na ufanisi kidogo
Placement ni jangaTunatumia muda mref kuwa na stress za kusubr placement na zikitoka tumekandwa stress maradufu
Acha wakae nazo maana hata status inatuvulugaPlacement ni janga
Wakuu kuangalia status inasomekaje ni kukimbiza upepo tu.Kizungumkuti cha status hahaha....utumishi watatuua jobless [emoji1787]
Wakuu kuangalia status inasomekaje ni kukimbiza upepo tu.
Mimi nadhani status inasemaga kweli mwanzoni pindi umewekewa "Examination No" na labda pindi umevuka written kwenda oral "Selected for Oral Interview"
Zaidi ya hapo, ukweli kuwa ulifaulu oral interview au upo kanzidata husemwa na "placement"
Hii ni quick survey ya watu sita ambao wapo kwenye mrija wa asali zaidi ya mwaka na bado portal kunasoma "selected for oral interview"
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Watakua wametenda ulumbi wa kimedani, kwa kuniondolea hali ya mtanziko (mazingira mwanambiji).
Huku wakiniacha na furaha bojobojo
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wanayeyuka na kanzi data hahhhh