Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Yaani ratiba yetu ICT security tunafanya written Dodoma alafu prac Dar tunamalizia oral Dodoma

Information system auditor tunafanya written Dodoma alafu prac na oral tunamalizia Dar [emoji23]
hahahaa yani mnakula tour ya nguvu
 
Pale HESLB nafasi ya LOAN OFFICER II wameita watu elfu 5 na usheee hivyo wamepanga watu kwa mafungu kutokana na series namba . Ila kwa bahati mbaya SN 3901 - 4300 kwenye pdf ya kuitwa kwa usaili majina yao hayapo sana sana baadhi ya majina ya herufi M yale ya mwisho mwisho na herufi P yale ya mwanzo kama paulo n.k pia n aherufi N na O wote mfano Omari, Nasibu nk . Hivyo kama una mtu hajaona jina kwa mkeka aingie kwa akaunt yake ataona huko

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Ok
 
Makulu Kuna 15000,20000,25000 mpaka 40000 lakini za chini ya hapo zipo mpaka ukiziwahi mapema za juu sasa inategemeana mzee au unataka Morena??bei ya chini pale nasikia ni 70000
Morena kwa wakishua pale sis wakopa nauli za kwenda Dom hapatufai sisi kwetu ni Mabula na znazofanana na hiyo
 
Usicho kijua ni kwamba ,mtu anayesoma Statistics (Takwimu) anaweza fanya kazi za Mchumi vizuri tuu .Kwani karibia Kila kitu kwenye economic anasoma .Si kwenye Mchumi tuu hata data analyst ,Bank na sehemu nyingi tuu Mtakwimu ana fit vyema kabisa.
Kwa Mtakwimu wapo karibia mia 800+
Sawasawa

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Oya brother ,mmi nimeitwa kwenye usahili ,ila kote kwenye Mchumi na Mtakwimu nipo na muda wa kwenda kwenye mitihani kote ni ule ule saa nne.Mimi nimeamua kwenda kwenye Mtakwimu ,mana Kule Kwa Mchumi Kuna nyomi la Wana kama 1500+

Sasa nikikosa kwenda hiyo ya Mchumi nitakuwa nimezingua ? Au inabidi niwaambie ukweli Kule Kule, kuwa nimeshindwa kujigawa?
Kama eneo la usaili ni Moja unawaambia tu watakuruhusu kufanya zote utawekwa mwanzoni na mwishoni
 
Nenda tu Bora uende ukose,kuliko usiende ubaki unajilaumu na umeusubiri nafasi muda mrefu sana
Nitaenda mkuu, tuombe uzima.

Itakuwa written yangu ya 4, sijui mwisho wake utakuwaje(kukandwa au kukanda). Zilizopita nilikandwa haswa
 
Oya brother ,mmi nimeitwa kwenye usahili ,ila kote kwenye Mchumi na Mtakwimu nipo na muda wa kwenda kwenye mitihani kote ni ule ule saa nne.Mimi nimeamua kwenda kwenye Mtakwimu ,mana Kule Kwa Mchumi Kuna nyomi la Wana kama 1500+

Sasa nikikosa kwenda hiyo ya Mchumi nitakuwa nimezingua ? Au inabidi niwaambie ukweli Kule Kule, kuwa nimeshindwa kujigawa?
Pale utumishi hakuna mtu ana muda wa kutaka kujua kama ulienda au hukwenda kwenye usaili,so wewe chagua tu unayoitaka mwenyewe.
 
Oya brother ,mmi nimeitwa kwenye usahili ,ila kote kwenye Mchumi na Mtakwimu nipo na muda wa kwenda kwenye mitihani kote ni ule ule saa nne.Mimi nimeamua kwenda kwenye Mtakwimu ,mana Kule Kwa Mchumi Kuna nyomi la Wana kama 1500+

Sasa nikikosa kwenda hiyo ya Mchumi nitakuwa nimezingua ? Au inabidi niwaambie ukweli Kule Kule, kuwa nimeshindwa kujigawa?
Mkuu hongera sana kwa kuitwa katika kupambania hizo nafasi.

Tambua kuwa ukiitwa sio lazima uende, usipoenda unawarahisishia kazi maana utawapunguzia mzigo.

Sasa wewe kati ya hizo nafasi, angalie ambayo unaona unaweza kutoboa ukaifanye
 
Mkuu hongera sana kwa kuitwa katika kupambania hizo nafasi.

Tambua kuwa ukiitwa sio lazima uende, usipoenda unawarahisishia kazi maana utawapunguzia mzigo.

Sasa wewe kati ya hizo nafasi, angalie ambayo unaona unaweza kutoboa ukaifanye
Asante sana mlumbi.Nitachagua Moja ni pambane nayo.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]asaivi uhakika lazima utoboe oral mzee maombi muhimu sana
Bado giza mkuu, sijui nisome wapi..

Hii nafasi ni mambo ya ukaguzi.

Sijui nijisomee mambo ya ukaguzi au wadudu[emoji134][emoji134]
 
Back
Top Bottom