hahahaa yani mnakula tour ya nguvuYaani ratiba yetu ICT security tunafanya written Dodoma alafu prac Dar tunamalizia oral Dodoma
Information system auditor tunafanya written Dodoma alafu prac na oral tunamalizia Dar [emoji23]
OkPale HESLB nafasi ya LOAN OFFICER II wameita watu elfu 5 na usheee hivyo wamepanga watu kwa mafungu kutokana na series namba . Ila kwa bahati mbaya SN 3901 - 4300 kwenye pdf ya kuitwa kwa usaili majina yao hayapo sana sana baadhi ya majina ya herufi M yale ya mwisho mwisho na herufi P yale ya mwanzo kama paulo n.k pia n aherufi N na O wote mfano Omari, Nasibu nk . Hivyo kama una mtu hajaona jina kwa mkeka aingie kwa akaunt yake ataona huko
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Morena kwa wakishua pale sis wakopa nauli za kwenda Dom hapatufai sisi kwetu ni Mabula na znazofanana na hiyoMakulu Kuna 15000,20000,25000 mpaka 40000 lakini za chini ya hapo zipo mpaka ukiziwahi mapema za juu sasa inategemeana mzee au unataka Morena??bei ya chini pale nasikia ni 70000
SawasawaUsicho kijua ni kwamba ,mtu anayesoma Statistics (Takwimu) anaweza fanya kazi za Mchumi vizuri tuu .Kwani karibia Kila kitu kwenye economic anasoma .Si kwenye Mchumi tuu hata data analyst ,Bank na sehemu nyingi tuu Mtakwimu ana fit vyema kabisa.
Kwa Mtakwimu wapo karibia mia 800+
Kama eneo la usaili ni Moja unawaambia tu watakuruhusu kufanya zote utawekwa mwanzoni na mwishoniOya brother ,mmi nimeitwa kwenye usahili ,ila kote kwenye Mchumi na Mtakwimu nipo na muda wa kwenda kwenye mitihani kote ni ule ule saa nne.Mimi nimeamua kwenda kwenye Mtakwimu ,mana Kule Kwa Mchumi Kuna nyomi la Wana kama 1500+
Sasa nikikosa kwenda hiyo ya Mchumi nitakuwa nimezingua ? Au inabidi niwaambie ukweli Kule Kule, kuwa nimeshindwa kujigawa?
Nitaenda mkuu, tuombe uzima.Nenda tu Bora uende ukose,kuliko usiende ubaki unajilaumu na umeusubiri nafasi muda mrefu sana
Nitaenda mkuu, sasahivi oblongata inarewind mazingira ya UDOM tu hapa[emoji3][emoji3]Nenda kiongozi huwezi jua ya Mungu
Kweli kabisa mkuu.Sasa hivi Kampeni yetu ya kwanza ni kutoboa oral
😂😂😂😂asaivi uhakika lazima utoboe oral mzee maombi muhimu sanaNitaenda mkuu, sasahivi oblongata inarewind mazingira ya UDOM tu hapa[emoji3][emoji3]
NitajaribuKama eneo la usaili ni Moja unawaambia tu watakuruhusu kufanya zote utawekwa mwanzoni na mwishoni
Pale utumishi hakuna mtu ana muda wa kutaka kujua kama ulienda au hukwenda kwenye usaili,so wewe chagua tu unayoitaka mwenyewe.Oya brother ,mmi nimeitwa kwenye usahili ,ila kote kwenye Mchumi na Mtakwimu nipo na muda wa kwenda kwenye mitihani kote ni ule ule saa nne.Mimi nimeamua kwenda kwenye Mtakwimu ,mana Kule Kwa Mchumi Kuna nyomi la Wana kama 1500+
Sasa nikikosa kwenda hiyo ya Mchumi nitakuwa nimezingua ? Au inabidi niwaambie ukweli Kule Kule, kuwa nimeshindwa kujigawa?
Mkuu hongera sana kwa kuitwa katika kupambania hizo nafasi.Oya brother ,mmi nimeitwa kwenye usahili ,ila kote kwenye Mchumi na Mtakwimu nipo na muda wa kwenda kwenye mitihani kote ni ule ule saa nne.Mimi nimeamua kwenda kwenye Mtakwimu ,mana Kule Kwa Mchumi Kuna nyomi la Wana kama 1500+
Sasa nikikosa kwenda hiyo ya Mchumi nitakuwa nimezingua ? Au inabidi niwaambie ukweli Kule Kule, kuwa nimeshindwa kujigawa?
Hivi kuingia kwenye kanzi data unabidi ufanye maajabu gani?Kweli kabisa mkuu.
"Hakuna kukataa tamaa, hadi ufike oral endapo tu umeitwa written"
Poa poa kakaPale utumishi hakuna mtu ana muda wa kutaka kujua kama ulienda au hukwenda kwenye usaili,so wewe chagua tu unayoitaka mwenyewe.
Asante sana mlumbi.Nitachagua Moja ni pambane nayo.Mkuu hongera sana kwa kuitwa katika kupambania hizo nafasi.
Tambua kuwa ukiitwa sio lazima uende, usipoenda unawarahisishia kazi maana utawapunguzia mzigo.
Sasa wewe kati ya hizo nafasi, angalie ambayo unaona unaweza kutoboa ukaifanye
Ahsante sana, tuombeane ili na sisi wenye sugu za mikando tuweze kupita hilo tutaAll the best wote mnaooenda kwenye enterview,mie yangu bado
Bado giza mkuu, sijui nisome wapi..[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]asaivi uhakika lazima utoboe oral mzee maombi muhimu sana
Inabidi ufaulu oral halafu ukose nafasi(kituo cha kazi) kwa muda huoHivi kuingia kwenye kanzi data unabidi ufanye maajabu gani?
Kwani hawana means ya kujua kwamba umefanya marekebisho kipindi kipiHapo ulipoweka refarii 2, edit weka wawe 3, halafu watafute waambie mbona mambo yako sawa.
Usiwatafute kabla hujarekebisha hayo makosa, watakuangushia nyundo zaidi