Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Tabasamu lake mkuu sikia tu kwa mtu usiku wa manane Kuna watu tulisema yesiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii kwa sauti kubwa kinyama aiseee tukakumbuka na kusali usikumtu nipo na boxes Kwanza nikavaa ili nisali vizuri
Oral ulifanya taasis Gani bro
 
Tabasamu lake mkuu sikia tu kwa mtu usiku wa manane Kuna watu tulisema yesiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii kwa sauti kubwa kinyama aiseee tukakumbuka na kusali usikumtu nipo na boxes Kwanza nikavaa ili nisali vizuri
😂😂😂😂Hapo lazima usali mzee hako kafeeling nadhani kanakuwaga ni katamu sana unapowakanda utumishi
 
Nilipo hapa nina marks zangu zote(100%) ila baada ya kulifungua pepa zitaweza kudrop hadi 0% kabisa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
😂😂😂😂Hizi ngoma zinazinguaga sana kama olevo nilikuaga kabla sijaingia kwenye pepa la chemia lazima nimeze defn ya mole na emprical formula maana nilikuaga nikizama tu kwenye pepa Yani nitakumbuka vyote lakini ikifika defn. ya mole na empirical formula zinapotea hahhhh
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hiyo hali nilikuwa naiita "at room temperature".

Room temperature ilikuwaga nyuzi 28 hadi 30 centigrade(reference ya kwenye prac).

Ila ukiingia ndani ya chumba cha pepa, hiyo room temperature inaweza ikafika 110°C[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] viganja vyote vikiwa vimelowana jasho.

Yaani ilikuwa unaweza kumeza defn dk 5 kabla hujaingja kwenye pepa, ila ukiingia na kuliona hilo swali, defn inavepa hapo hapo.
 
😂😂😂😂😂room temp inafika 100 ubongo unapoteza kila kitu
 
Nde
Mie nimekuja kugundua kama process za interview mpaka placement zingeenda kama ivyotakiwa basi process ya kupangiwa kituo cha kazi ndo ndefu Zaid ya zote
Ndefu labda taasisi yako hyohyo.. Kuna Mshikaji wangu alipata Ajira za TARI then akaenda makao makuu Dodoma-Makutupora,, chap wakampanga zone/centre ya kazi kabla ya mwezi Mzee kaanza kupiga mzigo
 
Nimeondoka darasani miaka kadhaa iliyopita, madude yakawa inactive, naona PSRS wameyachokonoa na kuwa active kwa 5% hivi.

Sasa hizi 5% tu PSRS naona wanajichukulia point mapema na cleansheet kabisa
🤣🤣🤣🤣, hao jamaa wana tabia chafu....
 
Nde
Ndefu labda taasisi yako hyohyo.. Kuna Mshikaji wangu alipata Ajira za TARI then akaenda makao makuu Dodoma-Makutupora,, chap wakampanga zone/centre ya kazi kabla ya mwezi Mzee kaanza kupiga mzigo
Kweli hata Mdau mmoja alivyopewa Barua Akatua Tarura akalipwa Substance Allowance siku 7 na Nauli. Na kazi anapiga now.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…