Genuine raf
JF-Expert Member
- Jun 17, 2022
- 673
- 1,804
Ngoja waje watupe uzoefuAisee watu wasiri sana humu ndani, na ni kwa kada zote au wateule wachache tu!?
nafikiri hizi process inategemeana na taasisi labdaKweli hata Mdau mmoja alivyopewa Barua Akatua Tarura akalipwa Substance Allowance siku 7 na Nauli. Na kazi anapiga now.
😂😂😂Aisee watu wasiri sana humu ndani, na ni kwa kada zote au wateule wachache tu!?
Ni hao walio ktk tangazo i.e wazenjiKwahyo wadau hili tangazo la mabadiliko ya mahala pa Usaili written ni kwa watu wa zenji tu, au wote hatutakiwi kwenda Dom ni mwendo wa Jiji letu kongwe na pendwa hilihili..?
Yap unalipwa hiyo ipo.Kumbe ukipata kazi Kuna kulipwa na hamsemi.
Itakuwa ni hao, maana nimeangalia sijaona majina ya kada yangu(kumbe hayakuwa na Wazenji).Ni hao walio ktk tangazo i.e wazenji
Sijaelewa Yani mnatakiwa muende zanz au?Itakuwa ni hao, maana nimeangalia sijaona majina ya kada yangu(kumbe hayakuwa na Wazenji).
Pia kwenye profile yangu, venue ya DOM bado inaendelea kuonekana vile vile.
Haikuwa vizuri umshtukize mtu wa Kigoma, Ruvuma, Katavi, Mara aende Zenji ndani ya siku moja(kesho) tu.
Nenda kazini mkuu huko naot unauhakika utafaulu??au unamjomba utumishi??Naombeni ushauri wadau leo nimepigiwa simu ya kuripoti kazini private non profit org salary 1.4m na kesho natakiwa niende dom kupiga usaili naot nafas 3 nifanyeje akili imestuck
Tatzo ni mkataba wa miaka miwili mrad una phase outNenda kazini mkuu huko naot unauhakika utafaulu??au unamjomba utumishi??
Sijaelewa Yani mnatakiwa muende zanz au?
Sasa una uhakika naot utafaulu mkuu??Tatzo ni mkataba wa miaka miwili mrad una phase out
Ahahaah kanzidata ndo inanipa moyoSasa una uhakika naot utafaulu mkuu??
je kazi isipotokea within six month hiyo database itakuwa na msaada wowote??Ahahaah kanzidata ndo inanipa moyo
Duh mbona hatar mzee babaje kazi isipotokea within six month hiyo database itakuwa na msaada wowote??
Duh mbona hatar mzee baba
Kama sio yakuelewekaNenda kapige kazi kama ni organization yakueleweka mengine yatajiset badae
Kama sio yakueleweka watakulipaje mshahara sasa??Kama sio yakueleweka
Kama ni Mimi ningeenda kwenye mkataba kwanza,ni rahisi sana kupata kazi mpya ukiwa kazini bro miaka miwili sio mingi lakini ni mingi nafasi sitatangazwa tu nyingine huko mbele Tena itakusaidia kuboresha cv,hyo NAOT percentage ni ndogo sana hapo kutoboaNaombeni ushauri wadau leo nimepigiwa simu ya kuripoti kazini private non profit org salary 1.4m na kesho natakiwa niende dom kupiga usaili naot nafas 3 nifanyeje akili imestuck