Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwahyo wadau hili tangazo la mabadiliko ya mahala pa Usaili written ni kwa watu wa zenji tu, au wote hatutakiwi kwenda Dom ni mwendo wa Jiji letu kongwe na pendwa hilihili..?
 
Kwahyo wadau hili tangazo la mabadiliko ya mahala pa Usaili written ni kwa watu wa zenji tu, au wote hatutakiwi kwenda Dom ni mwendo wa Jiji letu kongwe na pendwa hilihili..?
Ni hao walio ktk tangazo i.e wazenji
 
Ni hao walio ktk tangazo i.e wazenji
Itakuwa ni hao, maana nimeangalia sijaona majina ya kada yangu(kumbe hayakuwa na Wazenji).

Pia kwenye profile yangu, venue ya DOM bado inaendelea kuonekana vile vile.

Haikuwa vizuri umshtukize mtu wa Kigoma, Ruvuma, Katavi, Mara aende Zenji ndani ya siku moja(kesho) tu.
 
Sijaelewa Yani mnatakiwa muende zanz au?
 
Naombeni ushauri wadau leo nimepigiwa simu ya kuripoti kazini private non profit org salary 1.4m na kesho natakiwa niende dom kupiga usaili naot nafas 3 nifanyeje akili imestuck
Kama ni Mimi ningeenda kwenye mkataba kwanza,ni rahisi sana kupata kazi mpya ukiwa kazini bro miaka miwili sio mingi lakini ni mingi nafasi sitatangazwa tu nyingine huko mbele Tena itakusaidia kuboresha cv,hyo NAOT percentage ni ndogo sana hapo kutoboa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…