Yes kaitwa nlikuwa nae leo, tushakandwa tyar[emoji23][emoji23]Kila la kheri mkuu, na mwenzako uliyempa hifadhi ya accomodation naye kaitwa oral?
Mzuri umeniona[emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahhhhh Prok jina gumu sana mzee nikajua huyu ni mwamba kumbe mdada tu tena mzuriiiiii
Mkaka mmoja na three girls, sisi wengine ni kazi kazi jaman ilimradi siku zimefika tumefanya interview, mkaka kaondoka after oral, na the rest wawili wanaondoka kesho asubuhi mwingine anasubir NAOT na mimi pia Alhamisi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hivi alimpa manzi mwenzie au mjuba alienda kula kimasihara?
Tupo mtu kibao. Ila tunaondoka jioni(usiku) ili tufike Dom asubuhi then mchana tukakandwe na tukitoka tuu tunageuza zetu Dar.Hamna wanaoenda dom kesho humu kutokea dar
Hivi kufika siku ya tukio hamuhofii risks na changamoto za njiani?Tupo mtu kibao. Ila tunaondoka jioni(usiku) ili tufike Dom asubuhi then mchana tukakandwe na tukitoka tuu tunageuza zetu Dar.
[emoji120]Kila la heri kaka.
Hapo lazima utoboe.244, wanahitajika 100
Hahahaa, tunapokezana.Yes kaitwa nlikuwa nae leo, tushakandwa tyar[emoji23][emoji23]
JF wadada wote ni wazuri/waremboMzuri umeniona[emoji1787]
Kumbe umetega na NAOT, safi sana.Mkaka mmoja na three girls, sisi wengine ni kazi kazi jaman ilimradi siku zimefika tumefanya interview, mkaka kaondoka after oral, na the rest wawili wanaondoka kesho asubuhi mwingine anasubir NAOT na mimi pia Alhamisi
Kila la khei wakuu, mimi pakipambazuka naamsha mapema.Tupo mtu kibao. Ila tunaondoka jioni(usiku) ili tufike Dom asubuhi then mchana tukakandwe na tukitoka tuu tunageuza zetu Dar.
Hahahhaa, huwa unatia timu mapema sana.Nipo Dodoma tayari
Hili jua linalowaka huku,sio la nchi hii..mje na miamvuli
Safi bro, All the bestKila la khei wakuu, mimi pakipambazuka naamsha mapema.
Saa nane mchana nitakuwa nane nane(gari isipozingua), then saa tisa au kumi nitakuwa nishafika na kuanza kupasha kwa ajili mkando
Ile baridi tuliikuta udom mwezi wa 9 ilikua noma sanaNipo Dodoma tayari
Hili jua linalowaka huku,sio la nchi hii..mje na miamvuli
Thanks mkuuAll the best job seekers.
Hongera dada, utatoboa this time hata coz pia jina lako lipo utumishi kanzi data244, wanahitajika 100
Nilipata lift ya mapema mkuuHahahhaa, huwa unatia timu mapema sana.
Kwamba baridi hamna na tusibebe makoti!?
Naombeni ushauri wadau leo nimepigiwa simu ya kuripoti kazini private non profit org salary 1.4m na kesho natakiwa niende dom kupiga usaili naot nafas 3 nifanyeje akili imestuck