Mwifwa
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 48,474
- 125,866
Hahahahaa sawa mkuu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Chamuhimu ufike mzee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahaa sawa mkuu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Chamuhimu ufike mzee
Pamoja mkuuHilo chimbo limelielewa aisee
Wapi hapo?Nimepata chimbo langu la bei rahisi huku nzuguni.bei ya room per day ni elfu 8,maji yapo,na chumba ni kizuri tu.mtaani chai kikombe ni 200/=,andazi 200/= chapati ni 300/=.supu inaanzia 1000/=,ugali dagaa ni kuna wa 1000/= na wa 1,500/=.
Naamini nimepunguza cost mno tofauti na ningekaa maeneo ya town huko.
Nzuguni huku..sema pameshajaa,naona wadau wamepachangamkia toka jana.Wapi hapo?
Poa poaNzuguni huku..sema pameshajaa,naona wadau wamepachangamkia toka jana.
Mwendo sikuukubali ila nimefikishwa mapema tangu nianze kusafiri kuja Dom kutoka Dar. Saa saba na robo inapumua nanenane stand.Daah, nimepanda basi la vimbwengo(NBS), sijaridhika na mwendo, hapa kufika ni saa tisa kabisa.
Shukrani mkuu
Zinazoenda mwanza huwa zinawahi sana kufika domMwendo sikuukubali ila nimefikishwa mapema tangu nianze kusafiri kuja Dom kutoka Dar. Saa saba na robo inapumua nanenane stand.
Kumbe siku hizi gari zinafika saa 6 Dom, maana gari zingine(za Mwanza) zilituacha mbali huko nyuma.
Allys ilituacha Msamvu hatukuiona tena.Zinazoenda mwanza huwa zinawahi sana kufika dom
Mwajiri ni nani?Utumishi wameongeza jam tena.. hawa watu naona ni wengi.. sijui ndo hao waliokosa kuitwa Mwanzo kwa changamoto fulanifulani
Naona ni Heslb &naotMwajiri ni nani?
Mkuu ushapata room!Mwajiri ni nani?
Poa tu sema wametukalisha sana, maswali mawili nlikuwa nayajua kabisa, moja nmekumbuka points tatu walikuwa wanataka tano, moja silijui kabisa[emoji23][emoji1787]Oral imeendaje mliyofanya?
Ushafaulu tayari,hapo imebaki kazi ya Mungu muweza tu we yako umeshamalizaPoa tu sema wametukalisha sana, maswali mawili nlikuwa nayajua kabisa, moja nmekumbuka points tatu walikuwa wanataka tano, moja silijui kabisa[emoji23][emoji1787]
Cafe theatre 3, College of business and lawUtakuwa venue ipi? mimi nitakuwa CBSL.
Usisahau kutuletea maji ya bomba ya kushushia jasho la mkando[emoji3][emoji3][emoji3]
Ooh mayigodi, vyumba vimejaa[emoji16]Hahahahaa, jobless naona umemjali jobless mwenzio kwa kumuombea ofa.
Ebu niisikilizie huyu mdada mzuri anaweza kufanya jambo
Swali la tano tangu nianze kusoma first year hadi namaliza law school sijawah ata lisikia, cha ajabu nmejibu Mungu wangu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ushafaulu tayari,hapo imebaki kazi ya Mungu muweza tu we yako umeshamaliza
Na ndio umelipatia lote bila kujua na litakupeleka kwenye mrija wa asali Mungu akusaidie [emoji120].Swali la tano tangu nianze kusoma first year hadi namaliza law school sijawah ata lisikia, cha ajabu nmejibu Mungu wangu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ndio mkuuMkuu ushapata room!