Itakuwa jambo jema, maana nimesindikiza watu kwenye written 3 mfululizoMungu ajaalie kaka next step tuwepo
Acha tuone itakuwajeLabda za MUCE zilisimamiwa na utumishi full ndo maana zimechelewa lakini naamini week hii mikeka itakuwa wazi
Ndio mkuu nikaendelee na majukumu ya kuufubaza ujoblessUshaikimbia Dodoma tayari mkuu?
Wiki ndiyo inaisha hvyo mzee,acha tujifarijiLabda za MUCE zilisimamiwa na utumishi full ndo maana zimechelewa lakini naamini week hii mikeka itakuwa wazi
Oral inafanyika dar?Ndio mkuu nikaendelee na majukumu ya kuufubaza ujobless
Nipo Chamwino muda huu, kulikuwa na kafoleni baada ya kutoka nane nane, imetuchelewesha
Kweli mkuu, tuombe kwanza marks ziwe above 50 na mfanya cut point asivurugwe[emoji3][emoji3]Yani written ukiona umejibu yote hapo oral uhakika mzee tuombe tu cut point isilete magumashi
MUHAS ulifanya pia?Amiin amiin ila wanachelewa sana, yaani ya MUHAS tumefanya mwezi huu lakin placement tayari. MUCE na IAE tangu September lakin hadi leo holaa
Asha Rose Migiro, tarehe 7Oral inafanyika dar?
Ngoja tuone lakini naamini week hii pdf zinatoka apa nanyoosha nguo zakufatia barua utumishiππππππWiki ndiyo inaisha hvyo mzee,acha tujifariji
Poa mkuu,sie mjini tutaingia jmos hukoNdio mkuu nikaendelee na majukumu ya kuufubaza ujobless
Nipo Chamwino muda huu, kulikuwa na kafoleni baada ya kutoka nane nane, imetuchelewesha
Aisee,hongera zake si mchezo kauona mrija wa asali na maziwaπ€£Haikuwa bahati yako mkuu.
Kuna jamaa yangu hapo kapata, nafasi ameipambania tangu 2020
tarehe 7?????mwezi ujao au?Asha Rose Migiro, tarehe 7
ππππMaana wale wa cut point wanakuaga na maajabu Fulani mpaka unajiuliza hawa wananitafuta ugomvi au vipiKweli mkuu, tuombe kwanza marks ziwe above 50 na mfanya cut point asivurugwe[emoji3][emoji3]
Ndio ilikuwa Haina writtenMUHAS ulifanya pia?
π€£π€£π€£π€£I love that spirit bro..unasubiri adem kada ipi?Ngoja tuone lakini naamini week hii pdf zinatoka apa nanyoosha nguo zakufatia barua utumishiππππππ
Sawa sawa,haikuwa rizki broNdio ilikuwa Haina written
ππππamna nasubiri ocean road mzee me nishanyoosha nguo mzee lazima nikachukue barua hata kwa ugomvi aseehπ€£π€£π€£π€£I love that spirit bro..unasubiri adem kada ipi?
Namimi naandaa barua ya kuacha kazi hapa napojishikiza Kwa Sasa, nikipata tu iyo placement naprint nampa bossπ€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£I love that spirit bro..unasubiri adem kada ipi?
Ilikuwa Post gani?Ndio ilikuwa Haina written
ππππMaana wale wa cut point wanakuaga na maajabu Fulani mpaka unajiuliza hawa wananitafuta ugomvi au vipi
Utapata kaka wakati ni wako huuππππamna nasubiri ocean road mzee me nishanyoosha nguo mzee lazima nikachukue barua hata kwa ugomvi aseeh