[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]bado zamu yangu haijafika ila naona wasaka tonge wenzangu wanavyokandwa[emoji23][emoji23][emoji23] Utumishi wamekukanda na ngumi ya ndoige au?
ugumu wa mitihani
πππNikajua wameshakukanda hahhh[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]bado zamu yangu haijafika ila naona wasaka tonge wenzangu wanavyokandwa
aisee bora niwe mfanya biashara kuliko kuchezea hela kwenda kwenye enterviewFair haiwezi kutokea hata siku moja kwenye life
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahhhhh uhakika apo tunafika utumishi saa kumi za usiku
yani siku mimi nikiona jina langu limepata kwanza nitaliaaaa hakuna atakayeweza kunibembeleza,nikitoka hapo naenda kulala msikitiniUnachanganyikiwa kwanza alafu ndio unakaa sawa[emoji1787][emoji1787]
Bora umejirudia zakoNdio.
Hapa watakaoenda oral ndio watatoboka, sio kama kusubirishana siku 3 ili matokeo yatoke halafu ukaja kuona umekandwa unakuwa umepoteza pesa bure kukaa Dom.
πππNilidhani umemsindikiza Mwifwa kwenye interview??Bora umejirudia zako
Basi mkuuu kwenye huu Uzi nisha comment vitu vingi duh mpaka hiii dah ndo naikumbuka Kuwa nishawahi kuja hapa kulia na hawa jamaaa WATOE placement π€£π€£π€£[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
The rest is history, hatimaye unasubiri michakato ya kazi
Mzee wa kimasihara nawewe kumbe bado mrija haujakutembeleayani me kutumia nauli kwenda kukandwaa hapanaaaa..
kaka nina kazi tu ajiraa badoo π πMzee wa kimasihara nawewe kumbe bado mrija haujakutembelea
Yani jobless anakuja anadrive interview mnatufanya wengine tuhusi mna konneksheni kumbe hamna .
Mbwembwe za kuja na magari muache bhna mnakera
Hahaha aaayani siku mimi nikiona jina langu limepata kwanza nitaliaaaa hakuna atakayeweza kunibembeleza,nikitoka hapo naenda kulala msikitini
πππππSihata kimasihara tu sio lazima mambo ya utumishihahahaa kule hata anishwawishi vipi siendi tofauti na enterview,napachukia dom
π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£yani siku mimi nikiona jina langu limepata kwanza nitaliaaaa hakuna atakayeweza kunibembeleza,nikitoka hapo naenda kulala msikitini
Hatari sanaBasi mkuuu kwenye huu Uzi nisha comment vitu vingi duh mpaka hiii dah ndo naikumbuka Kuwa nishawahi kuja hapa kulia na hawa jamaaa WATOE placement π€£π€£π€£
Imebidi nirudi mwanzo kuenjoy na huu UziAhsanteni nyote mliohudhuria leo kwenye huu uzi, PDF bado linapikwa[emoji3]
Kama una kijiwe kinachoeleweka haina haja ya kusumbuka na PSRS kabisa aiseeyani me kutumia nauli kwenda kukandwaa hapanaaaa..