Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Connection ndugu nishaona Sina hapa🤣🤣🤣 hata sina wa kumuuliza mwezi Sasa umeshaisha mwezi ujao Mwishoni nitaenda dodoma kwa mkurugenzi nimkande maswali why kimya mpka ashangae kwa kweli na Nampa na Marks atakazopata below 50 Kuna rushwa naenda takukuru 🤣🤣🤣
Kwakweli hizi kazi mtu umeusubiri placement umechekelea unajua ushamaliza,unakaa Tena kwa stress unasubiri uitwe dah..hapo ukitoboa adult nenda tu sidhani kama kule michakato itakua mirefu hivyo,shida ni kwamba endapo utakua ushaingia kwenye mfumo tayari
 
Kwakweli hizi kazi mtu umeusubiri placement umechekelea unajua ushamaliza,unakaa Tena kwa stress unasubiri uitwe dah..hapo ukitoboa adult nenda tu sidhani kama kule michakato itakua mirefu hivyo,shida ni kwamba endapo utakua ushaingia kwenye mfumo tayari
Nitawaeleza hao adult Kila kitu then wao watanishauli cha kufanya
 
Kwakweli hizi kazi mtu umeusubiri placement umechekelea unajua ushamaliza,unakaa Tena kwa stress unasubiri uitwe dah..hapo ukitoboa adult nenda tu sidhani kama kule michakato itakua mirefu hivyo,shida ni kwamba endapo utakua ushaingia kwenye mfumo tayari
Kwani process kuwa ndefu nitatizo la taasisi au ndivyo ilivyo tu?
 
Labda hiyo michakato kuna mambo mengine
Mchakato ni mkubwa lazima wahakiki vyeti wao na mamlaka husika kama TCU au NACTE pia taarifa zako za benki na vitu vingine kibao so inachukua mda nikihesabu tuliopata kazi wa fani tofauti zote Zaid ya watu mia so kazi ni ngumu mkuu pia ipo hivyo karibu kote Kuna mdau nilikutana naye huko nikachukua namba yeye ni ofisini ya wilaya ndo walitoa kazi naye mpaka tarehe 24 nilichek anasema alienda wakamwambia asubiri watampigia simu
 
Mchakato ni mkubwa lazima wahakiki vyeti wao na mamlaka husika kama TCU au NACTE pia taarifa zako za benki na vitu vingine kibao so inachukua mda nikihesabu tuliopata kazi wa fani tofauti zote Zaid ya watu mia so kazi ni ngumu mkuu pia ipo hivyo karibu kote Kuna mdau nilikutana naye huko nikachukua namba yeye ni ofisini ya wilaya ndo walitoa kazi naye mpaka tarehe 24 nilichek anasema alienda wakamwambia asubiri watampigia simu
duuuh aseeh kweli kupata kazi ni kazi pia
 
Mchakato ni mkubwa lazima wahakiki vyeti wao na mamlaka husika kama TCU au NACTE pia taarifa zako za benki na vitu vingine kibao so inachukua mda nikihesabu tuliopata kazi wa fani tofauti zote Zaid ya watu mia so kazi ni ngumu mkuu pia ipo hivyo karibu kote Kuna mdau nilikutana naye huko nikachukua namba yeye ni ofisini ya wilaya ndo walitoa kazi naye mpaka tarehe 24 nilichek anasema alienda wakamwambia asubiri watampigia simu
Kada Gani bro
 
Swali la kwanza tell us the history of ur education and professional history
2. Three types of tortuous liability
3. Five ways on how a contract can be discharged
4. Five stages when exhibits can be tendered in court
5. Five instruments of statutory legislation
Hili la tano hata layman wa sheria anaweza tembea nalo
 
Hebu niulizie kwa prok yeye ana experience marafik zake walipata kazi halmashauri na TRA Atuambie walitumia mda gan mpka kuanza kazi
Kwa nini akuulizie wakati nipo hapa[emoji3]. Wale wa TRA walianza na training haikuchukua muda, aliepata halmashauri sehemu ilikuwa vacant kabisa so mwezi wa 12 ilibidi aende kufanya kazi na hayo mambo yakusubir check no alikuja kupata mwezi wa pili mwanzoni kama sikosei. Mastate attorney wa juzijuzi mwezi wa saba sijui wa nane walivyochukua barua waireport kazini within 2 weeks ilivyotakiwa na washaanza kazi ila sijui malipo inakuwaje,, mimi nahisi hii pia inategemea na uharaka wa kumuhitaji huyo mtu, mfano mastate attorney karibia wote hadi wale wa parliamentary draftman wameazimwa na NPS mpaka mwezi wa kwanza maana NPS hawakuwa na watu kabisa.
 
Back
Top Bottom