Genuine raf
JF-Expert Member
- Jun 17, 2022
- 673
- 1,804
Kwakweli hizi kazi mtu umeusubiri placement umechekelea unajua ushamaliza,unakaa Tena kwa stress unasubiri uitwe dah..hapo ukitoboa adult nenda tu sidhani kama kule michakato itakua mirefu hivyo,shida ni kwamba endapo utakua ushaingia kwenye mfumo tayariConnection ndugu nishaona Sina hapa🤣🤣🤣 hata sina wa kumuuliza mwezi Sasa umeshaisha mwezi ujao Mwishoni nitaenda dodoma kwa mkurugenzi nimkande maswali why kimya mpka ashangae kwa kweli na Nampa na Marks atakazopata below 50 Kuna rushwa naenda takukuru 🤣🤣🤣
Placement zingine lini?tulishatoa matokeo Sept 2022
Nitawaeleza hao adult Kila kitu then wao watanishauli cha kufanyaKwakweli hizi kazi mtu umeusubiri placement umechekelea unajua ushamaliza,unakaa Tena kwa stress unasubiri uitwe dah..hapo ukitoboa adult nenda tu sidhani kama kule michakato itakua mirefu hivyo,shida ni kwamba endapo utakua ushaingia kwenye mfumo tayari
YesNitawaeleza hao adult Kila kitu then wao watanishauli cha kufanya
Kwani process kuwa ndefu nitatizo la taasisi au ndivyo ilivyo tu?Kwakweli hizi kazi mtu umeusubiri placement umechekelea unajua ushamaliza,unakaa Tena kwa stress unasubiri uitwe dah..hapo ukitoboa adult nenda tu sidhani kama kule michakato itakua mirefu hivyo,shida ni kwamba endapo utakua ushaingia kwenye mfumo tayari
Sijajua,na pengine hili ndio linalochelewesha hata kada zingine kuitwa probably Kuna shida somewhereKwanini process kuwa ndefu nitatizo la taasisi au ndivyo ilivyo tu?
Labda hiyo michakato kuna mambo mengineSijajua,na pengine hili ndio linalochelewesha hata kada zingine kuitwa probably Kuna shida somewhere
Ila ulisema mwisho wa mwezi ngoja tuisubiri hizi siku 2 🤣🤣Labda hiyo michakato kuna mambo mengine
😂😂😂😂Kesho uhakika mzee apa nshapiga maombi kesho mkeka unatoka Monday naenda kuchukua barua utumishiIla ulisema mwisho wa mwezi ngoja tuisubiri hizi siku 2
Mchakato ni mkubwa lazima wahakiki vyeti wao na mamlaka husika kama TCU au NACTE pia taarifa zako za benki na vitu vingine kibao so inachukua mda nikihesabu tuliopata kazi wa fani tofauti zote Zaid ya watu mia so kazi ni ngumu mkuu pia ipo hivyo karibu kote Kuna mdau nilikutana naye huko nikachukua namba yeye ni ofisini ya wilaya ndo walitoa kazi naye mpaka tarehe 24 nilichek anasema alienda wakamwambia asubiri watampigia simuLabda hiyo michakato kuna mambo mengine
duuuh aseeh kweli kupata kazi ni kazi piaMchakato ni mkubwa lazima wahakiki vyeti wao na mamlaka husika kama TCU au NACTE pia taarifa zako za benki na vitu vingine kibao so inachukua mda nikihesabu tuliopata kazi wa fani tofauti zote Zaid ya watu mia so kazi ni ngumu mkuu pia ipo hivyo karibu kote Kuna mdau nilikutana naye huko nikachukua namba yeye ni ofisini ya wilaya ndo walitoa kazi naye mpaka tarehe 24 nilichek anasema alienda wakamwambia asubiri watampigia simu
Kada Gani broMchakato ni mkubwa lazima wahakiki vyeti wao na mamlaka husika kama TCU au NACTE pia taarifa zako za benki na vitu vingine kibao so inachukua mda nikihesabu tuliopata kazi wa fani tofauti zote Zaid ya watu mia so kazi ni ngumu mkuu pia ipo hivyo karibu kote Kuna mdau nilikutana naye huko nikachukua namba yeye ni ofisini ya wilaya ndo walitoa kazi naye mpaka tarehe 24 nilichek anasema alienda wakamwambia asubiri watampigia simu
Hebu niulizie kwa prok yeye ana experience marafik zake walipata kazi halmashauri na TRA Atuambie walitumia mda gan mpka kuanza kaziduuuh aseeh kweli kupata kazi ni kazi pia
TRA😅 TUMEUSUBIR SANA HUUSijui itakuwa nini, labda tuanze kubeti
😂😂😂😂itakuwa haupo kabisa huo hahhhTRA😅 TUMEUSUBIR SANA HUU
Nafikiri halimashauri hawana milolongo mirefu kama hizi taasisi zingineHebu niulizie kwa prok yeye ana experience marafik zake walipata kazi halmashauri na TRA Atuambie walitumia mda gan mpka kuanza kazi
Ngoja nimuulizeHebu niulizie kwa prok yeye ana experience marafik zake walipata kazi halmashauri na TRA Atuambie walitumia mda gan mpka kuanza kazi
Hili la tano hata layman wa sheria anaweza tembea naloSwali la kwanza tell us the history of ur education and professional history
2. Three types of tortuous liability
3. Five ways on how a contract can be discharged
4. Five stages when exhibits can be tendered in court
5. Five instruments of statutory legislation
Kwa nini akuulizie wakati nipo hapa[emoji3]. Wale wa TRA walianza na training haikuchukua muda, aliepata halmashauri sehemu ilikuwa vacant kabisa so mwezi wa 12 ilibidi aende kufanya kazi na hayo mambo yakusubir check no alikuja kupata mwezi wa pili mwanzoni kama sikosei. Mastate attorney wa juzijuzi mwezi wa saba sijui wa nane walivyochukua barua waireport kazini within 2 weeks ilivyotakiwa na washaanza kazi ila sijui malipo inakuwaje,, mimi nahisi hii pia inategemea na uharaka wa kumuhitaji huyo mtu, mfano mastate attorney karibia wote hadi wale wa parliamentary draftman wameazimwa na NPS mpaka mwezi wa kwanza maana NPS hawakuwa na watu kabisa.Hebu niulizie kwa prok yeye ana experience marafik zake walipata kazi halmashauri na TRA Atuambie walitumia mda gan mpka kuanza kazi
Andika majibu yako hapaHili la tano hata layman wa sheria anaweza tembea nalo