Ahmed Saidi
JF-Expert Member
- Oct 15, 2019
- 1,588
- 3,487
Ni maombi tu yatawale Sasa hiviUtapata hapo zilizobaki kaka
Kweli mzeeNi maombi tu yatawale Sasa hivi
Kabisa hakuna kubwa kwa MunguNi maombi tu yatawale Sasa hivi
Kweli kabisa TutorNafikiri tulifanya yaliyo ndani ya uwezo wetu mpaka kwenye oral haya mengine tumuachie Mungu atende
Yes haya ya baada ya oral hayapo kwenye uwezo wetu aseehKweli kabisa Tutor
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Me kuna siku nmepigiwa mkaka anaongea kiustaarabu kweli kumbe mteja anataka muhuru khaaa, nlijua psrs [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wameweka pdf ya nafasi za kazi kule🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
AmiiinaNaamini IAE umepita mzee
Sisi Kada Yetu MUHAS haipo kwny Placement.. sijuiii tumefeli wote ORAL [emoji23][emoji23][emoji23]Naamini IAE umepita mzee
😂😂😂😂 Pharmacology au?hahhhh utumishi wanaroho ngumu sana waleSisi Kada Yetu MUHAS haipo kwny Placement.. sijuiii tumefeli wote ORAL [emoji23][emoji23][emoji23]
Nilikuwa nashangaa Sana kuona mtu amekandwa, Kumbe hii kitu ipo bhn [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Pharmacology au?hahhhh utumishi wanaroho ngumu sana wale
😂😂😂😂Sio ipo tu ,tena ipo serious sanaNilikuwa nashangaa Sana kuona mtu amekandwa, Kumbe hii kitu ipo bhn [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Hongera sana kwake huyu dada kwa kuwa-inspire vijana wakaze buti wasikate tamaa.Kipekee,amewa-inspire mabinti kutojiachia ovyo kwa sababu ya shida kwani eventually THERE IS NO PERMANENT SITUATION haya nayo ya u-jobless yatapita,mtaeanda level zingine baada ya kupata kazi uta-move kuangalia greener pasturesUmesema kweli aisee
Ni kweli kabisa haya yote yatabaki historia one dayHongera sana kwake huyu dada kwa kuwa-inspire vijana wakaze buti wasikate tamaa.Kipekee,amewa-inspire mabinti kutojiachia ovyo kwa sababu ya shida kwani eventually THERE IS NO PERMANENT SITUATION haya nayo ya u-jobless yatapita,mtaeanda level zingine baada ya kupata kazi uta-move kuangalia greener pastures
Zinatangazwa tena TA hawezi kufanya kazi za assistant lecturerWadau naomba kuuliza swali. Ipo hivi walioomba nafasi ya assistant lecturer Kwa vyuo vya UDOM, SUA, MUCE, DUCE na MUHAS wapo wawili (na nafasi hapo Kwa kila chuo ni 2 post) na watu hao wameappear huko kote alaf nasikia wote wameconfirm DUCE. hivyo vyuo vyote vilivyobaki vinakosa hao assistant lecturers na hizo nafasi kuwa wazi.
Je utumishi hawawezi kuchukua wale walioomba kama Tutorial Assistant ili walau wawaendeleze na baadae wawe assistant lecturers?
Au nafasi zitatangazwa upya?
Muongozo tafadhari😅
Ameni kaka. Ubarikiwe piaHongera sana kwake huyu dada kwa kuwa-inspire vijana wakaze buti wasikate tamaa.Kipekee,amewa-inspire mabinti kutojiachia ovyo kwa sababu ya shida kwani eventually THERE IS NO PERMANENT SITUATION haya nayo ya u-jobless yatapita,mtaeanda level zingine baada ya kupata kazi uta-move kuangalia greener pastures