Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

leo mchana😂😂😂
I wish haya maneno yangekua kweli🤣,mi najikuta nakwama kufanya maamuzi Fulani hvi ya kuhama mkoa na familia kabisa..hofu yangu ni kwamba endapo ntaenda huo mkoa alafu soon after majibu yanatoka nimefaulu na ninapangwa mkoa flani tofauti na huo hapo ndio nakwama nabaki nahang..at least ukijua hujapata maana yake unafanya maamuzi ya uhakika
 
I wish haya maneno yangekua kweli🤣,mi najikuta nakwama kufanya maamuzi Fulani hvi ya kuhama mkoa na familia kabisa..hofu yangu ni kwamba endapo ntaenda huo mkoa alafu soon after majibu yanatoka nimefaulu na ninapangwa mkoa flani tofauti na huo hapo ndio nakwama nabaki nahang..at least ukijua hujapata maana yake unafanya maamuzi ya uhakika
😂😂😂😂hahhhh huyaamini maneno ya jobless mwenzio?usihame mkuu subiri placement itoke kwanza usijekwenda kigoma halafu ukapangiwa kyera huko
 
Back
Top Bottom