Ahmed Saidi
JF-Expert Member
- Oct 15, 2019
- 1,588
- 3,487
Hakuna yeyote aliepigiwa simu na hizi taasisiIae na adem nadhani zitatoka pamoja,sijui lini aisee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna yeyote aliepigiwa simu na hizi taasisiIae na adem nadhani zitatoka pamoja,sijui lini aisee
leo mchana😂😂😂Iae na adem nadhani zitatoka pamoja,sijui lini aisee
Sio lazima wakupigie simu mzee jina utaliona kwenye PDF wanaopigaga cm wale wenye uhitaji wa harakaHivi ni lazima waanze kukupigia simu au unaweza kuona jina Moja Kwa Moja kwenye pdf? Maana nasikia MUCE kuna watu wamepigiwa simu
I wish haya maneno yangekua kweli🤣,mi najikuta nakwama kufanya maamuzi Fulani hvi ya kuhama mkoa na familia kabisa..hofu yangu ni kwamba endapo ntaenda huo mkoa alafu soon after majibu yanatoka nimefaulu na ninapangwa mkoa flani tofauti na huo hapo ndio nakwama nabaki nahang..at least ukijua hujapata maana yake unafanya maamuzi ya uhakikaleo mchana😂😂😂
Mice walifanya lini kakaHivi ni lazima waanze kukupigia simu au unaweza kuona jina Moja Kwa Moja kwenye pdf? Maana nasikia MUCE kuna watu wamepigiwa simu
Interview written tarehe 15 na oral 16 SeptemberMice walifanya lini kaka
😂😂😂😂hahhhh huyaamini maneno ya jobless mwenzio?usihame mkuu subiri placement itoke kwanza usijekwenda kigoma halafu ukapangiwa kyera hukoI wish haya maneno yangekua kweli🤣,mi najikuta nakwama kufanya maamuzi Fulani hvi ya kuhama mkoa na familia kabisa..hofu yangu ni kwamba endapo ntaenda huo mkoa alafu soon after majibu yanatoka nimefaulu na ninapangwa mkoa flani tofauti na huo hapo ndio nakwama nabaki nahang..at least ukijua hujapata maana yake unafanya maamuzi ya uhakika
Same date na AdemInterview written tarehe 15 na oral 16 September
Shukrani mkuu, maana MUCE Kuna baadhi waneshapigiwa ila Mimi sijapokea simu yoyoteSio lazima wakupigie simu mzee jina utaliona kwenye PDF wanaopigaga cm wale wenye uhitaji wa haraka
Interview written tarehe 15 na oral 16 September
Nayaamini my fellow jobless🤣😂😂😂😂hahhhh huyaamini maneno ya jobless mwenzio?usihame mkuu subiri placement itoke kwanza usijekwenda kigoma halafu ukapangiwa kyera huko
Aisee!lini wamepigiwaShukrani mkuu, maana MUCE Kuna baadhi waneshapigiwa ila Mimi sijapokea simu yoyote
Subiri pdf mkuu hiyo ndo ina kila kituShukrani mkuu, maana MUCE Kuna baadhi waneshapigiwa ila Mimi sijapokea simu yoyote
😂😂😂😂basi Imani yako imekuponya na kazi umepata jiandae piga pass suti Monday tukachukue barua udomNayaamini my fellow jobless🤣
Aisee!lini wamepigiwaShukrani mkuu, maana MUCE Kuna baadhi waneshapigiwa ila Mimi sijapokea simu yoyote
Kweli pdf ndio msema kweli,Yani sa hvi unajikuta hutaki namba ngeni ikupite kabisa🤣Subiri pdf mkuu hiyo ndo ina kila kitu
Hahaaa ni kweliKumbe juzi tu
😂😂😂😂Kuna siku nimepigiwa na namba ngeni aseeh nilichanganyikiwaAisee!lini wamepigiwa
Kweli pdf ndio msema kweli,Yani sa hvi unajikuta hutaki namba ngeni ikupite kabisa🤣
Wiki hiiAisee!lini wamepigiwa