Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

"Watakaoajiriwa MDAs & LGAs watatoka kwenye interview iliyofanywa ya NAOT. Hakutokua na interview ya MDAs & LGAs. Zile za TRA usitegemee kuzisikia tena mpaka mwakani watatangaza upya kazi" Nimenukuu kwa mtahiniwa mwenzangu jana
Hiki kitu hakipo mkuu kama nafasi zilitangazwa basi lazima interview muende ukafanye interview muda wowote
 
Mimi naomba kutoa comment kuhusu hili, ntaongelea experience yangu, mwaka jana ndo nlimaliza law school, nlikuwa sina hamu kabisa na kazi za serikalin maana tyar nlikuwa na biashara yangu iliosimama asikwambie mtu, inshort nlikuwa sikwami kwa lolote, baadae mwezi wa 12 mwanzoni panya road walinipitia aisee, inshort waliniacha mtupu, nlitamani kujinyonga, hapohapo sisi wadada wa vikoba tukatapeliwa huko, nami nikawa na madeni since nlikuwa nategemea hela vikoba baada ya duka kuyumba nmalizie hayo madeni ambapo kipindi hicho nliona hela ndogo sana.
Duka nikafunga kabisa, inshort nlichanganyikiwa na mipango yote ilisimama, nliona ata Dar hapanifai nkarudi kijijini kwanza maana nlikuwa naona nakufa kwa depression, hapo sehem nlipokuwa nafanya intern babu yule pia alizingua kila siku kunitaka kumkataa ikawa kesi, nalipwa hela kidogo ila kazi ninazofanya acha tu, na mimi nlitaka tu experience kwa hiyo mwanzo sikujali muda ulivyoenda, babu anasumbua hapohapo nina mihuri yangu kazi karibia asilimia 80% nafanya mimi na mateso nakaa hadi saa mbili sometimes nkaona niache tu.
Nlirudi kijijini nikakaa hadi mwezi wa tatu, mdogo wangu ambae kiukweli sitamsahau huyo dada, hatuna undugu kabisa ni rafika tu ndo alikuwa ananipa moyo, aliomba hadi nitoke home nikakae nae kwao niwe na mtu karibu maana familia yangu kuna namna siwez ongea zaidi hapa, nkawa naona anaapply kazi na mimi nkaanzia hapo kuapply kazi za psrs, mwezi wa nne nkaona kama nimepona naweza rudi Dar nianze biashara yangu since nmeshaijua na nina wateja wangu wa kutosha siwez kulala njaa, mwanzon ilikuwa ngumu kwa mtu ambae ashazoea kuwa na duka then anaanza upya tena kuuza online, ila sasa hivi namshukuru sana Mungu maisha yanaenda though sio kama mwanzo ila nlikubali matokeo na siwazi tena kitu, ata interview zikifika nauli siwazi, interview ya kwanza ndo nlifanya mwezi wa tano na nikafika oral ndo mpaka leo hawajahi kuplace tetesi zikawa kuwa walishaitwa kwa juu juu ila sijawahi kukata tamaa.
Lengo la maelezo haya ni kuwa hapa duniani usije ukakaa na kutegemea kitu kimoja, ukiwa na biashara kama mtaji unatosha kuwa nazo ata mbili tofauti kabisa, ukiwa na kazi kuwa ata na biashara pemben kwamba kimoja kikikwama bado maisha yataendelea,
Nlipopata matatizo kwenye biashara yangu ndo hiyo pekee nlikuwa naitegemea, ndo nikawa kama wale from 100 to 0, lakini nkaimagine ningekuwa na kazi ya kueleweka mshahara wa mwezi mmoja tu au miwili ungenipa kianzio na biashara yangu ikaendelea kama kawa ata kama sio kama mwanzon lakin nisingehangaika vile.
Mimi nawashauri tu tusikate tamaa, kama una mishe zako unafanya na zimeshaeleweka kitaa tafuta ata kazi ata huku psrs tunakohangaika nako uwe na security ya kutosha, siku kazi imezingua biashara ako ipo, au siku biashara imezingua kazi ipo. Tusitegemee kitu kimoja wadau.
Samahani kwa uzi mrefu[emoji16]
Umesema kweli aisee
 
"Watakaoajiriwa MDAs & LGAs watatoka kwenye interview iliyofanywa ya NAOT. Hakutokua na interview ya MDAs & LGAs. Zile za TRA usitegemee kuzisikia tena mpaka mwakani watatangaza upya kazi" Nimenukuu kwa mtahiniwa mwenzangu jana
Wee!!usinambie yaan wale walio kwenda kwenye interview ya NAOT.Imani Yao imewaponya, kwenye Mkeka wa MDAsna LGAs wanasikilizia Oral tuu ?
 
Kuna kipindi uzi ulivamiwa na "warusi na wa-ukrain" wa bongo, kile kipindi kikapita, ukavamiwa na "jamaa muuza smart tv 50inch", kile kipindi hakikudumu pia.

Naona sasa uzi uko katika "unyama mwingi sana" Meckpro vs Prok.
Hahahahaaaa.
Hao hawawezi kuuvamia bana, ni wadau muhimu kwenye huu uzi, kuuchangamsha uzi namna hiyo sio mbaya pia
 
"Watakaoajiriwa MDAs & LGAs watatoka kwenye interview iliyofanywa ya NAOT. Hakutokua na interview ya MDAs & LGAs. Zile za TRA usitegemee kuzisikia tena mpaka mwakani watatangaza upya kazi" Nimenukuu kwa mtahiniwa mwenzangu jana
Hakunaga huu mchezo maana Kuna wengine hawakuomba NAOT na waliomba MDAs & LGAs, afu pia huyo mwanafunzi mwenzako anaongea kama nani na anacheo gani pale PSRS..!? mambo mengine sio yakuyabeba kama unavyopewa na watu au haujui kama unaleta tension kwa jobless humu...? rumors ni mbaya sana bora ungekuja na fact, wewe kama uliomba MDAs & LGAs endelea kujiandaa ukapige interview.
 
"Watakaoajiriwa MDAs & LGAs watatoka kwenye interview iliyofanywa ya NAOT. Hakutokua na interview ya MDAs & LGAs. Zile za TRA usitegemee kuzisikia tena mpaka mwakani watatangaza upya kazi" Nimenukuu kwa mtahiniwa mwenzangu jana
Yeye kazipata wapi hizo taarifa?
 
😂😂😂😂Ukiona tunapiga story zingine tunavuta muda ili kesho wakishaweka placement tuanze kuzijadili na jinsi yakwenda kuchukua barua utumish

Angalau huyu kawa outstanding hapa baada ya kupokea barua.

Wengine wamepotea kabisa wanajipakulia Asali taratibu, hata kuja kutupa moyo hapa hakuna
Mi nikipokea ntakuja hapa kuendelea kuwatia moyo ndugu zangu 😂,maana naelewa tunachopitia
 
Back
Top Bottom