Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Ona maisha ya bongo yanavotisha kama katuni mbele ya walioridhika. Ona kijana wa bongo anavokaa cheki pozi zake jinsi anavokaa. Amechoka kachoka kachakaa. Jitume we huenda ukafarijika.


1. Kubali mapungufu yako
2. Rahisisha mahitaji yako
3. Ongeza kipato chako
4. Chunga tamaa mbaya
5. Chunga tamaa mbaya

Mkumbuje Muumba wako siku za ujana wako.
 
Ikiwa hivyo unyama haswa.

Imagine hadi masupervisor washanitambua, kwenye ukaguzi hata hawahangaiki kivile, wakiniangalia tu usoni wanaishia kugeuza vyeti kama wanafungua kurasa za kitabu na kuniambia karibu tukukande[emoji3][emoji3][emoji3]
Kuna matukio ukifanya wakati wa ukaguzi au ndani ya venue, unakua noted sana na wale jamaa wa psrs, wanakua wameshakukariri.
 
Pole sana mkuu.

Hiki kitu ndio nimejifunza kwenye uwekezaji.

Panya road ni watu wabaya sana, hawa tunaoona wanachomwa moto huku Dar huwa natamani achomwe halafu aipuliwe kabla hajakata roho ili ayasikilizie maumivu halafu arudishwe tena jikoni amalizikie.

Kwa hiyo katika kuwekeza, security ni kipaumbele, iwe ulinzi wa goli au ulinzi wa backup ya mtaji.

Ukiwa na kazi rasmi angalau pana unafuu hata kama mambo yakizingua hautaweza kulala njaa.

Tuendelee kupambana kwa namna mbalimbali tunazoona zinafaa ili tuweze angalau kuwa stable kwenye vijisenti
Kabisa kaka, hawa watu wanatuumiza sana aisee
 
Kuna kipindi uzi ulivamiwa na "warusi na wa-ukrain" wa bongo, kile kipindi kikapita, ukavamiwa na "jamaa muuza smart tv 50inch", kile kipindi hakikudumu pia.

Naona sasa uzi uko katika "unyama mwingi sana" Meckpro vs Prok.
😂😂😂😂Ukiona tunapiga story zingine tunavuta muda ili kesho wakishaweka placement tuanze kuzijadili na jinsi yakwenda kuchukua barua utumishi
 
Kuna kipindi uzi ulivamiwa na "warusi na wa-ukrain" wa bongo, kile kipindi kikapita, ukavamiwa na "jamaa muuza smart tv 50inch", kile kipindi hakikudumu pia.

Naona sasa uzi uko katika "unyama mwingi sana" Meckpro vs Prok.
Kwakweli huu Uzi upewe ulinzi,mi Kuna muda nasema siingii psrs naingia kwenye Uzi kule kama pdf lipo tayari ntajua tu
 
Mkeka la MDA's & LGA's umepasuliwa mara mbili,. Awamu ya pili utahusisha wahasibu na wakaguzi wa ndani,. Awamu hiyo itahusisha mkeka wa NAOT,. Tuendelee kupiga msuli. Hatujui siku wala saaa.
"Watakaoajiriwa MDAs & LGAs watatoka kwenye interview iliyofanywa ya NAOT. Hakutokua na interview ya MDAs & LGAs. Zile za TRA usitegemee kuzisikia tena mpaka mwakani watatangaza upya kazi" Nimenukuu kwa mtahiniwa mwenzangu jana
 
Back
Top Bottom