Safi sanaReceived 5
2 nimeitwa ila nimechagua moja (zilikuwa muda mmoja) tu na nimefika oral nasubir placement (first time interview ya Pspr)
1 ya NAOT sijaitwa sababu za kijinga kuwa sijafika referee 3 nimewapigia na wamesema hawana cha kunisaidia ( nyoko zao wamefanya figisu nje ya uwanja)
2 bado received nazisubiri wazilete, wasipo nifanyia figisu za nje ya uwanja Naomba Mungu nitoboe niingie kwenye pipa la asali
Umewekwa wapi huo mkeka mkuu?Kuna mkeka mpya wa TAKUKURU umetoka
Mkando uliisha kwenye saa kumi na moja. Saa kumi na mbili nipo ndani ya Tembo bus service ya kutoka Kahama, nikatua Dar saa nane kasoro.Mlitoka saa ngapi baada ya mkando?
Duuu!Noma sana hii kaka.Nilikuwa na received 5.
1 sikuwa shortlisted kwa sababu isiyo mashiko maana kama hiyo sababu ingetumika, nisingeitwa hata moja.
4 nikawa shortlisted.
3 nimekandwa, sijafika oral
1 ni ya juzi(NAOT), majibu tarehe 2.
Tathmini:
Mrija wa Asali ndio ushapita kushoto hivyo
Hongera sana mkuu.Received 5
2 nimeitwa ila nimechagua moja (zilikuwa muda mmoja) tu na nimefika oral nasubir placement (first time interview ya Pspr)
1 ya NAOT sijaitwa sababu za kijinga kuwa sijafika referee 3 nimewapigia na wamesema hawana cha kunisaidia ( nyoko zao wamefanya figisu nje ya uwanja)
2 bado received nazisubiri wazilete, wasipo nifanyia figisu za nje ya uwanja Naomba Mungu nitoboe niingie kwenye pipa la asali
Mwaka ndio nimeuhitimisha, sijui kama nafasi yangu itatoka lini tena maana ni rare sana kutoka mara kwa mara.[emoji23][emoji23][emoji23] Usikata tamaa Jobsekeers mwenzetu naamini Mungu atasaidia kwa hizi za karibuni..
Inshallah
Ulijitahidi sana kufika nane nane mapema, au ulilinyaka bus mjini?Mkando uliisha kwenye saa kumi na moja. Saa kumi na mbili nipo ndani ya Tembo bus service ya kutoka Kahama, nikatua Dar saa nane kasoro.
Hili zimwi limepita, ngoja nigange yajayoDuuu!Noma sana hii kaka.
Nilikua na received 3 na bado zipo tatu. Application toka mwezi wa naneKuna watu humu walikuwa na Received zaidi ya 3 Ila naamini baada ya PSRS kuita Usaili Heslb na naot, baadhi ya watu washamaliza Received zao zote.
Haya Kila mtu aje hapa atoe ushuhuda wake,,,, Alikuwa na received ngapi, kahudhuria saili ngapi, kafika Oral mara ngapi, Tamu na chungu ipo wapi kwenye hizi saili, Estimation wa kupata kazi kupitia hizi saili iko wapi.????? AU ndo ulikandwa zote [emoji23][emoji23]
Nlikuwa na received 12 [emoji23] kwa huu mwaka, nmebakisha received 3, received 1, nlikataliwa kufanya sikuwa na chet cha kuzaliwa original, received moja nlifanya mpaka oral pracement bado, received mbili sikufanikiwa kufika oral , received mbili nyingine sikufanya ratiba ziligongana nlikuwa na interview nyingine Dar ya uhakika private ila personal interests zikatokea nkamwachia Mungu, received 3 nmefanya 1 maana ilikuwa muda mmoja na ulitakiwa kuchagua moja, hiyo moja nlifika oral nasubir placement, received 1 ndo ya NAOT nasubir, bado received tatu, TRA, foreign affairs yenyewe kama yenyewe na foreign affairs ya MDA.Kuna watu humu walikuwa na Received zaidi ya 3 Ila naamini baada ya PSRS kuita Usaili Heslb na naot, baadhi ya watu washamaliza Received zao zote.
Haya Kila mtu aje hapa atoe ushuhuda wake,,,, Alikuwa na received ngapi, kahudhuria saili ngapi, kafika Oral mara ngapi, Tamu na chungu ipo wapi kwenye hizi saili, Estimation wa kupata kazi kupitia hizi saili iko wapi.????? AU ndo ulikandwa zote [emoji23][emoji23]
Hongera sana mkuu hopes utaitwaHuu mwaka nimefanya application 8, nimeitwa interview 5.
2 nimezipotezea, 3 nimeenda na zote nimefika oral, Moja ya MUHAS placement tayari na sijapata. Hii ya MUHAS ilikuwa ni oral pekee
Mungu ni mwema huu mwaka utaisha ukiwa na tabasamuHuu mwaka nimefanya application 8, nimeitwa interview 5.
2 nimezipotezea, 3 nimeenda na zote nimefika oral, Moja ya MUHAS placement tayari na sijapata. Hii ya MUHAS ilikuwa ni oral pekee
Statistic imesimama hongera sanaHuu mwaka nimefanya application 8, nimeitwa interview 5.
2 nimezipotezea, 3 nimeenda na zote nimefika oral, Moja ya MUHAS placement tayari na sijapata. Hii ya MUHAS ilikuwa ni oral pekee
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]akikubali usisahau kutujulisha majobless wenzenu tuje kufinya wote mpunga[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Namchumbia Prok jobless mwenzangu hiyo bila hela yani nikienda najitambulia tu I am ..mr jobless pro-max nikubalie ukinikataa nafanya kama katibu wa firi frii
bora tu nikomaa na genge langu la nyanya na matunda huku nikisubiri utumishi wanioneHahahaha na kula juu yako
Zipi hizo mwamba Toka mwezi august..?Nilikua na received 3 na bado zipo tatu. Application toka mwezi wa nane
Kazi ushapata mkuu trust meNlikuwa na received 12 [emoji23] kwa huu mwaka, nmebakisha received 3, received 1, nlikataliwa kufanya sikuwa na chet cha kuzaliwa original, received moja nlifanya mpaka oral pracement bado, received mbili sikufanikiwa kufika oral , received mbili nyingine sikufanya ratiba ziligongana nlikuwa na interview nyingine Dar ya uhakika private ila personal interests zikatokea nkamwachia Mungu, received 3 nmefanya 1 maana ilikuwa muda mmoja na ulitakiwa kuchagua moja, hiyo moja nlifika oral nasubir placement, received 1 ndo ya NAOT nasubir, bado received tatu, TRA, foreign affairs yenyewe kama yenyewe na foreign affairs ya MDA.
Uanasheria unaingia popote kupiga kazi ndio maana uliambulia received(nafasi) nyingi.Nlikuwa na received 12 [emoji23] kwa huu mwaka, nmebakisha received 3, received 1, nlikataliwa kufanya sikuwa na chet cha kuzaliwa original, received moja nlifanya mpaka oral pracement bado, received mbili sikufanikiwa kufika oral , received mbili nyingine sikufanya ratiba ziligongana nlikuwa na interview nyingine Dar ya uhakika private ila personal interests zikatokea nkamwachia Mungu, received 3 nmefanya 1 maana ilikuwa muda mmoja na ulitakiwa kuchagua moja, hiyo moja nlifika oral nasubir placement, received 1 ndo ya NAOT nasubir, bado received tatu, TRA, foreign affairs yenyewe kama yenyewe na foreign affairs ya MDA.