Nlikuwa na received 12 [emoji23] kwa huu mwaka, nmebakisha received 3, received 1, nlikataliwa kufanya sikuwa na chet cha kuzaliwa original, received moja nlifanya mpaka oral pracement bado, received mbili sikufanikiwa kufika oral , received mbili nyingine sikufanya ratiba ziligongana nlikuwa na interview nyingine Dar ya uhakika private ila personal interests zikatokea nkamwachia Mungu, received 3 nmefanya 1 maana ilikuwa muda mmoja na ulitakiwa kuchagua moja, hiyo moja nlifika oral nasubir placement, received 1 ndo ya NAOT nasubir, bado received tatu, TRA, foreign affairs yenyewe kama yenyewe na foreign affairs ya MDA.