Msako wa mrija na uendelee, one day yesHuu mwaka nimefanya application 8, nimeitwa interview 5.
2 nimezipotezea, 3 nimeenda na zote nimefika oral, Moja ya MUHAS placement tayari na sijapata. Hii ya MUHAS ilikuwa ni oral pekee
Muhimu kutokukata tamaa tuu kulipambania kombeMsako wa mrija na uendelee, one day yes
Shukurani umenipa mwanga.Taesa wanatoa internship ya mwaka mmoja na malipo ya laki na nusu Kila mwezi ila kama ofisini uliyopangiwa wanahela nao wanaweza kukupa mwaka ukiisha unasepa PSRS Wao asilimia kubwa ni kazi za permanent job and pensionable job ukipata unakula asali na kusubir kusitafu tu mkuu
Ebu achana na wizy [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]akikubali usisahau kutujulisha majobless wenzenu tuje kufinya wote mpunga
Wee, kuna wanaoingia kanzidata wakajua wapo? [emoji23]. Mbili nasubiri placement, mimi kazi rasmi nmeanza kuomba mwaka huu kaka. Sema hiyo ya mwanzo ninayosubir placement kuna tetesi kuwa watu waliitwa kwa juu juu bila kuweka placement ๐ฅฑUanasheria unaingia popote kupiga kazi ndio maana uliambulia received(nafasi) nyingi.
Nguvu zote za maombi zielekee kwenye placement, hizi zingine sii za kuzipigia mahesabu kivile.
Ile ulisema upo kwenye kanzidata ilikuwa ya mwaka jana au ulimaanisha hii unayosubiri placement?
Kama TRA internship wanawalipa 300k ukijumlisha na 150k ya Taesa wanapokea 450k jumla mwisho wa mwezi
Huwez kujua kama upo kwenye kanzidata au lah!Wee, kuna wanaoingia kanzidata wakajua wapo? [emoji23]. Mbili nasubiri placement, mimi kazi rasmi nmeanza kuomba mwaka huu kaka. Sema hiyo ya mwanzo ninayosubir placement kuna tetesi kuwa watu waliitwa kwa juu juu bila kuweka placement ๐ฅฑ
AmiinHongera sana mkuu hopes utaitwa
AmiinMungu ni mwema huu mwaka utaisha ukiwa na tabasamu
Asante nduguStatistic imesimama hongera sana
Yes nalijua hili ndo maana nkamuulizaHuwez kujua kama upo kwenye kanzidata au lah!
Kabisa mpaka kielewekeMsako wa mrija na uendelee, one day yes
Mimi nilikuwa na Received 4 mbili nimefanya September na nimefika Oral zote, mbili zilizobakia nasubiria MDA & LGA na Open UniversityMie huu mwaka nilikua na received nne mbili nishafanya (kati ya hizo moja Nina barua ghetto dah[emoji22][emoji22] moja nasubiri placement nifate barua nitaazima suti ya wizy hapa Niende nayo) kwenye account Bado received mbili moja ya ASA-hii siendi hata kwa dawa inataka mtu mmoja acha majobles wenzangu wapate nafasi na wao received nyingine Ni TRA- hii Sasa wakiita sijaingiza job naenda kufanya interview (sema Toka nipate placement nishaacha kusoma kabisa[emoji1787][emoji1787] ila najuaa Pepa lake litakua gumu sana)
kama nitakua job siendi interview wacha majobles wezangu wapambanie nafasi haita kua na maana mie kwenda kushindana nao
Basi endelea kupiga zote unazoendelea kuitwa. Utabahatisha kati ya hizo.Wee, kuna wanaoingia kanzidata wakajua wapo? [emoji23]. Mbili nasubiri placement, mimi kazi rasmi nmeanza kuomba mwaka huu kaka. Sema hiyo ya mwanzo ninayosubir placement kuna tetesi kuwa watu waliitwa kwa juu juu bila kuweka placement ๐ฅฑ
Una nafasi kubwa ya kuingia kwenye mrija wa Asali.Mimi nilikuwa na Received 4 mbili nimefanya September na nimefika Oral zote, mbili zilizobakia nasubiria MDA & LGA na Open University
๐๐๐๐Kapdf kakumalizia mweziJ3 ya mwisho wa Octoba ndio hiyo ishaingia, je tunaweza kuambulia kapdf cha kufungia mwezi?
Usisite kutembelea web ya PSRS unaweza kujiokotea dodo ndani ya Auditorium room
๐๐๐๐Suti yangu naipiga pasi kila siku inasubiria pdf tuMie huu mwaka nilikua na received nne mbili nishafanya (kati ya hizo moja Nina barua ghetto dah๐ข๐ข moja nasubiri placement nifate barua nitaazima suti ya wizy hapa Niende nayo) kwenye account Bado received mbili moja ya ASA-hii siendi hata kwa dawa inataka mtu mmoja acha majobles wenzangu wapate nafasi na wao received nyingine Ni TRA- hii Sasa wakiita sijaingiza job naenda kufanya interview (sema Toka nipate placement nishaacha kusoma kabisa๐คฃ๐คฃ ila najuaa Pepa lake litakua gumu sana)
kama nitakua job siendi interview wacha majobles wezangu wapambanie nafasi haita kua na maana mie kwenda kushindana nao
๐๐๐๐Lazima mule pilau mwaka huu either la utumishi au la harusi na suti yangu ya blue kama container la maji hahhhh[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]akikubali usisahau kutujulisha majobless wenzenu tuje kufinya wote mpunga
Mungu ajalie Mana ujobless siyo poaUna nafasi kubwa ya kuingia kwenye mrija wa Asali.
Mara paap placement ikatoka halafu umo kabla haujaitwa hizo received zilizobaki.
Kuna jamaa ilimtokea hivi, alipata mrija NCAA kwenye placement zilizopita halafu alikuwepo kwenye shortlists za NAOT