Mie huu mwaka nilikua na received nne mbili nishafanya (kati ya hizo moja Nina barua ghetto dah[emoji22][emoji22] moja nasubiri placement nifate barua nitaazima suti ya wizy hapa Niende nayo) kwenye account Bado received mbili moja ya ASA-hii siendi hata kwa dawa inataka mtu mmoja acha majobles wenzangu wapate nafasi na wao received nyingine Ni TRA- hii Sasa wakiita sijaingiza job naenda kufanya interview (sema Toka nipate placement nishaacha kusoma kabisa[emoji1787][emoji1787] ila najuaa Pepa lake litakua gumu sana)
kama nitakua job siendi interview wacha majobles wezangu wapambanie nafasi haita kua na maana mie kwenda kushindana nao