Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Taasisi inatangaza ajira leo Written wanaita baada ya miezi saba oral baada ya mwezi alafu placement mpaka yesu ashuke, wana uhakika walihitaji watu kweli au wanalazimishwa[emoji1]


Alafu hili swala la vijana wengi kujitolea wakati mwingine linachangia kucheleweshwa placement maana watu wanaendelea na kazi hakuna gaps.

Kuna usaili nilifanya Wakujitolea wote walifeli tukapita watu wachache lakini mpaka leo hawajaita and its been months

Sio kwa ubaya ila kwenye kujitolea kuna ka-advantage watu wanatake
 
Taasisi inatangaza ajira leo Written wanaita baada ya miezi saba oral baada ya mwezi alafu placement mpaka yesu ashuke, wana uhakika walihitaji watu kweli au wanalazimishwa[emoji1]


Alafu hili swala la vijana wengi kujitolea wakati mwingine linachangia kucheleweshwa placement maana watu wanaendelea na kazi hakuna gaps.

Kuna usaili nilifanya Wakujitolea wote walifeli tukapita watu wachache lakini mpaka leo hawajaita and its been months

Sio kwa ubaya ila kwenye kujitolea kuna ka-advantage watu wanatake
Kujitolea ni gia ya kupata aidha free labor au cheap labor!! Lakini pia ni mlango wa kupitisha wateule fulani!!
 
Hongera sana!! Kumbuka kuwaombea wanaoendelea kupambana!! Kajitahidi kluwa mtumishi mwema!!
Mmh mkuu database ya miaka 2?? Imekaaje hpo
Tuendelee kuwa wavumilivu tu maana Kuna mwamba mmoja hvi Leo kalamba asali ila jamaa alishawah kufanya interview ya utumish mara Moja tu Tena mwaka Jana mwez 6

Imagine Leo kaitwa Tena na taasis ambayo hakuwahi kufanya interview yake...

kasbr Zaid ya mwaka na kitu na alkuwa ashasahau na anapga mishe zake tu..

Leo pdf imeshuka anashangaa kuona watu wanamtext nakumpa hongera..

Kwahyo Kuna ktu Cha kujifunza hapa.

Wakati wa Mungu ni wakat sahh...na kama ipo ipo tuu kama haipo ni haipo.
 
Tuendelee kuwa wavumilivu tu maana Kuna mwamba mmoja hvi Leo kalamba asali ila jamaa alishawah kufanya interview ya utumish mara Moja tu Tena mwaka Jana mwez 6

Imagine Leo kaitwa Tena na taasis ambayo hakuwahi kufanya interview yake...

kasbr Zaid ya mwaka na kitu na alkuwa ashasahau na anapga mishe zake tu..

Leo pdf imeshuka anashangaa kuona watu wanamtext nakumpa hongera..

Kwahyo Kuna ktu Cha kujifunza hapa.

Wakati wa Mungu ni wakat sahh...na kama ipo ipo tuu kama haipo ni haipo.
Kweli mwamba subra ni muhimu sana, mungu ni mwema naamini one day yes.
 
Back
Top Bottom