Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kujitolea ni nini, unajitolea kwa muda gani, jitu lina miaka 4 eti unajitolea, hiyo nafasi ww umemaliza chuo muda una miaka 7 mtaani unaendelea kujitolea kwanini usipishe wenzako ambao ni fresh graduate, hiyo ni njia ya kuweka ndg zao. Maana usaili wa psrs watoto wao wanapigwa mapema. Wanakimblia kujitolea au kupondea psrs, huo ni uhuni2.
Wamezoea kubebwa, ipo siku kitaeleka, kujitolea sehemu muda mrefu haimaanishi ndo unasifa za kupata kazi direct kisa una bi mkubwa hapo, utaratibu lazima ufuatwe maana hata wakati unaenda kupewa hiyo nafasi haukushindanishwa, ulichomekwa.
KWANI NYIE MNAONA WAP HIZO NAFASI WANATANGAZA ZA KUJITOLEA UNASHAANGAA JAMAA KAINGIA ANAGONGA MIAKA 5 akikaziwa analalamika, ww ulikubalj kujitolea endelea kujitolea
Kujitolea ni gia ya kupata aidha free labor au cheap labor!! Lakini pia ni mlango wa kupitisha wateule fulani!!
Ititolr
 
Saizi wanazipa mamlaka ya kuajiri yaani hatuoni hata kwamba sisi kwa mifumo yetu bado sana rushwa ipo juu sana, undugu, kujuana na taratibu hazifuatwi ndio maana hiki chombo psrs kina umuhimu japo nako wanamapungufu ila afadhali kuliko kuwaachia eti TANROAD,au halmashauri iajirinyenyewe huoni hapo ni hatari sana, sisi bado sana kujisimamia, na vijana humu ndani wanafurahia, wanacheka yaani kijana msomi wa chuo anarukaruka hawezi hata kujaji vitu sijui niwasomi wa wapi, mtu unafurahia uchochoro, huoni madhara, unarukaruka, kazi ni ushabiki wa kijinga, lazima tuwe kitu kimoja vijana, hatujui madhara ya hii kitu wanawaza miaka 3 au 2 tuangalie mbele maisha yatakuwaje nihatari hata kwa usalama wa taifa kama Waziri alivyo sema bungeni nchi hii watu wanabebana sana.Ajira chache ndio hata zilizopo tushindanishwe vyema, sio kisa unajitolea kwa kuletwa na mjomba unataka uajiliwe kienyeji fanya usaili umefeli endelea kujitolea huwezi ondoka au endelea kujitolea hata 10 years mama mjomba yupo atakukingia kifua ila kumbuka nae ni mwanadam kuna kufa, na kuondoka ndo utaelewa dunia inavyoenda. Mambo ya kujitolea mwisho miezi 6 au mwaka we miaka mi nne unajitolea nini nani anae kubakiza hapo ugande kama kupe
Kujitolea ni gia ya kupata aidha free labor au cheap labor!! Lakini pia ni mlango wa kupitisha wateule fulani!!
Iziiz
 
Eti
Eti mtu unajitolea, unajitolea, kujitolea, kufundisha au hata kazi zingine, maana hiyo ni kama intern2, unajitolea.Kuna jamaa yangu yupo taasisi fulani
Miaka tano,or say 4 years unajitolea, unanitoa sadaka au unajitolea, unaishije sasa, eti unajitolea, kujitolea hivi kujitolea ni nini wakati mwingine watanzania tuache usaniii unajitolea, unalipwa au maana kujitolea ni almost hulipwi kitu, sasa unajitolea nini miaka mi nne, unajitolea au unasubiri nafasi yakujipenyeza.Sasa mimi nina shangazi pale nitaendaje kujitolea pale ili nami ikija nafasi niingie màna hili jambo halina utaratibu ni utashi2.
Unajitolea miaka inaenda unajitolea, tuwe wakweli sawa kunakujibanza ila inapotokea nafasi wazi itangazwe ,usaili,ufanywe tena alie pasi apate kazi sio kwa kuwapa kipaumbele wanao jitolea maana tutajuaje kama ni mwanao, utanifikiria mimi hicho ndo watu hatutaki kwenye mashirika ya uma.
 
Hongera sana kwake...kikubwa uvumilivu Tu na kutokukata tamaa ndo silaha kuu ya jobless, kwa pamoja tutashinda, Muda utazungumza ni suala Tu la subira, kikubwa tuongeze juhudi za kuongeza izo received, tusiache ata kama nafasi ni moja, Yote yanawezekana
 
Mungu ni Mwema ,,nami nimefanikiwa kulamba Asali ....GOD DID THIS, [emoji120][emoji120]

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Wale wadau wa status kweny WEB : SELECTED FOR ORAL kweny APP : SELECTED FOR ORAL.... Tuendelee kupambana na kumweka Mungu mbele ndio anaeijua kesho yetu

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Maisha yenyewe tunayoishi ni kujitolea tosha
 
ahh watajijua wenyewe mi nshachoka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…