Hizo cases zipo nyingi sana kitaa.Hahaha, kabisa Mkuu. Wanawake wanatakiwa wasiwasiliti jobless wenzao haya Maisha ni ya kupita. Muda wowote jobless anakuwa mlamba asali, wataona aibu.
Ila kwa wanaume ni vice versa sanaMkuu, msikaze sana mtafanya watu wachizike. Wanawake wenye ajira wanataka wenye ajira wenzao, hata nyie msio na ajira mnataka tena wenye ajira! Hapana, hii sio haki.
[emoji23][emoji23][emoji23] unaambiwa shida hukuongezea akiliHahahahaaa, laiti PSRS wangekuwa hawacheleweshi mambo hizi tafiti/tathmini tusingezipata
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] CIA wa kuwapeleleza PSRSAhahaha we mwamba ni hatar unachimba vitu kama CIA
Hahahahaaa.Hahaha, Mkuu unaongea mambo yanayoumiza lakini kwa lugha rahisi sana. Hiki ni kipaji Mkuu, usikiache.
Kama ile katuni ya kipanya vigogo wanavyoogelea kwenye asali[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Hahaha, Mkuu wewe hutaki mambo ya mrija unaenda kabisa kwenye pipa la asali! Nimecheka sana.
Yani yunajifunza kufanya Hadi tafitiπ€£,Mimi mdau alivyosema hajawah kuona placement za weekend nikarudi kwanza kwenye webπ€£π€£π€£ nikasema kweli bwanaHahahahaaa, laiti PSRS wangekuwa hawacheleweshi mambo hizi tafiti/tathmini tusingezipata
Kweli mkuu[emoji23][emoji23][emoji23] unaambiwa shida hukuongezea akili
Itakua ni TARI, ASA, WIZARA[emoji23]Nilikua na received 3 na bado zipo tatu. Application toka mwezi wa nane
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Yani yunajifunza kufanya Hadi tafiti[emoji1787],Mimi mdau alivyosema hajawah kuona placement za weekend nikarudi kwanza kwenye web[emoji1787][emoji1787][emoji1787] nikasema kweli bwana
Anything can happen any time
Hizo cases zipo nyingi sana kitaa.
Tatizo watu wanakosaga subira, mambo huja na kupita, wanasahau hili
Ila kwa wanaume ni vice versa sana
Hahahahaaa.
Ukisikia deacribe your perfomance in one and short sentence ndio hii sasa
Kama ile katuni ya kipanya vigogo wanavyoogelea kwenye asali[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Kabisa kabisa[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Kuna comment huwa zinafanya mtu ujishughlishe ili upate ukweli wa jambo
ππππHii suti inabidi niiuze tuUliambiwa na moneytalk hadi itachanika mambo yakiwa bila bila[emoji3][emoji3]
hahahaaππππLazima mule pilau mwaka huu either la utumishi au la harusi na suti yangu ya blue kama container la maji hahhhh
πππππMkuu nje ya mada kidogo ya haya mapdf, hiyo avatar ni wewe??hahahaa