Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Yani yunajifunza kufanya Hadi tafiti[emoji1787],Mimi mdau alivyosema hajawah kuona placement za weekend nikarudi kwanza kwenye web[emoji1787][emoji1787][emoji1787] nikasema kweli bwana
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

Kuna comment huwa zinafanya mtu ujishughlishe ili upate ukweli wa jambo
 
Anything can happen any time

Kabisa Mkuu, jobless ni sawa na mtu aliyekaa njia panda. Magari ni lazima yapite, na linaweza likamchukua gari la kwenda kokote.

Sasa dada zetu wanataka hawa ambao tayari wako ndani ya magari, hawajui kuna ambao muda wowote wanashtukiwa walipanda kiwizi wizi wanashushwa, au wengine wameshachafuliwa CV wanaonekana wanataka kupindua gari, kwa hiyo hawafai.
 
Wakuu Latra washaitana kimya kimya nin..mbn toka july mpk leo hawajashortlist?zile post za QAO
 
Back
Top Bottom