Acha kabisa mkuu , vijana wengi tunatoka familia hizi hizi za maisha ya kawaida kabisa , no mtaji ,alafu watu waliostaafu wanarudishwa kazini vijana tunaambiwa tujiajiri [emoji1787] [emoji1787]
ndio maana siku hizi hadi vijana wanakufa na kisukriAcha kabisa mkuu , vijana wengi tunatoka familia hizi hizi za maisha ya kawaida kabisa , no mtaji ,
No backup no nothing , unapambana kama komando kuganga njaa kitaa , vigogo na watoto wao ni mwendo wa kupewa kamseleleko kupenyezwa kwenye mapipa ya asali
Tuendelee kuvuta subra yajayo yafurahisha!Hadi sasa IT bado kimya Tuu, cjui anaangusha lini PDF ili waganga njaa wafurahi
Mmh hili la taasisi kuajr wenyeww halifurahishi mkuuTuendelee kuvuta subra yajayo yafurahisha!
Yaap ni kweli kuna ukakasi hapo lakni mm naamini mambo yataa fresh tu mwamba!Mmh hili la taasisi kuajr wenyeww halifurahishi mkuu
DaaahhhTunakupa possible then baada ya miaka 2 una ghorofa lako Goba na Harrier new model nyeusi tinted unatupita watembea kwa miguu tuliokuwezesha hata lift hutoi tusije kuchafua seat za gari yako
Nikajua IT kaamua😃😃Majina ya nyongeza usaili TRA
Dah tupo hoiii kusbria pdf matumaini finyuu 😫bado 0-0 ,ngoja tuone mpaka naiti, nje na hapo tutegemee kesho pdf proba inaweza kuwa 99%
Mfwende ! ,yule jamaa yetu Makofia mbona kapotea sana humu ? , tumekuwa hopeless kabisa mzee .bado 0-0 ,ngoja tuone mpaka naiti, nje na hapo tutegemee kesho pdf proba inaweza kuwa 99%
Pengine Makofia ndo Mkandaji mwenyeweMfwende ! ,yule jamaa yetu Makofia mbona kapotea sana humu ? , tumekuwa hopeless kabisa mzee .
Hamna morali za ronja master kabisa sikuhizi humu .
Tunaposema kuna wahuni wanataka kuhujumu makusudi mfumo wa PSRS ili kufanya yao ,watu waelewe .Hili suala la taasisi kuipigia PSRS ni la ukweli kbsa