Don Vill
JF-Expert Member
- May 4, 2020
- 2,249
- 5,674
Naanza kuamini hawa wapuuz ndio wamesababisha uhaba wa ajira tangia awamu iliyopita , mfumo wa PSRS uliwabana kufanya upuuz wao ndio maana wakawa hawatoi vacancies mpya za kazi .
Haiwezekani miaka zaidi ya sita majitu yamejikausha tu leo hii yalivyosikia kuna uwezekano wa mfumo wa zamani kurudishwa ndio yanaibuka ovyo ovyo ,mara nafasi za kazi 400+ ,mara nafasi za kazi 300+ ,walikuwa wapi miaka yote hiyo vijana wanahangaika kitaa ajira hamna ?
Haiwezekani miaka zaidi ya sita majitu yamejikausha tu leo hii yalivyosikia kuna uwezekano wa mfumo wa zamani kurudishwa ndio yanaibuka ovyo ovyo ,mara nafasi za kazi 400+ ,mara nafasi za kazi 300+ ,walikuwa wapi miaka yote hiyo vijana wanahangaika kitaa ajira hamna ?