captain sparrow
JF-Expert Member
- Apr 11, 2016
- 949
- 2,061
Ata kuchakata pia zile call for interview napo wanachukua Mda, ila walishaanza kufanyia mchakato hayo mapungufu mfano saiv saili za written zinafanyika kikanda........Changamoto iliyopo psrs ni kuchelewa kutoa placement tofauti na hapo hawa jamaa wako vizuri sana.
Wako fair kwa asilimia 99.9%