Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Duuu, huyo mwamba anatuaibisha sana Wanaume, hizo tabia tumezizoea kwa wanawake ila mwamba katembea nazo.

Pole sana kwa hayo yalikukuta, ipo siku atakukumbuka, Mambo huwa yanakuja na kupita. Sasa hivi u ahangaika na PSRS unaweza kulamba mrija wa Asali wa kueleweka hadi yeye atakushangaa siku moja na aanze kujilaumu.

Upendo wa kweli muhimu sana, ila tamaa ikiingia inasambaratisha Upendo
 
😂😂😂😂Kumbe jobless Kuna wakati unawazaga vizuri tu aseeh kweli utumishi Watapata mtumishi bora
 
😂😂😂😂Kuna hiyo manzi nilitoka nayo chuo aseeh ilivyoniacha nilikuja kusikia tu kaolewa simu zake hazikupatika ikabidi nicheke tu hahhhhh
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna hiyo manzi nilitoka nayo chuo aseeh ilivyoniacha nilikuja kusikia tu kaolewa simu zake hazikupatika ikabidi nicheke tu hahhhhh
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…