Hongera sana mkuuMu
Mungu yu Mwema hakika, hatimae nimo.
Thanks Team, tuendelee kumuomba mema Mungu Kwa mafanikio ya Kila Moja wetu.[emoji1666]
Shukrani sana ndugu, hakika ni nasaha njema nimezipokea na kuzifanyia kazi ndugu. UbarikiweHongera sana ndugu,
Wakati wa Mungu ndio wakati sahihi kabisa, nakutakia maisha mema katika Utumishi wa Umma. Kumbuka kufuata Sheria, Kanuni na Taratibu za kazi yako pale unapotimiza majukumu yako.
Pia, jipongeze ukiwa pamoja na ndugu na jamaa zako wa karibu kufurahia mafanikio hayo uliyopata.
Mwisho, kumbuka kutoa shukrani au msaada kwa jamii yenye uhitaji kwani haikuwa rahisi mpaka kufika hapo.
Ungekuwa bado haujalamba asali usinge andika hvyo.calm down bro
Ahsante kaka, Kwa sote ndugu Mungu atufanyie wepesi.Hongera sana mkuu,ukawe mtumishi mwema. Tulizimiss sana shuhuda kama hizi
Ahsante KiongoziHongera sana mkuu,ukawe mtumishi mwema. Tulizimiss sana shuhuda kama hizi
Shukrani ndugu, Ni kweli ni suala la muda tu aliotupangia Mungu hakika.Hongera sana ndugu yangu, ngj nami niendelee kusubiri huenda pdf zijazo nikatokea
Hongera karibu kwenye mzinga
Ahsante kakaHongera sana mkuu
hawa jamaa wana bahati hatariEl Marabiosh mwanangu naona binamu zetu civil engineers wamesombwa ka kijiji kwenye hii pdf mzee !
Hongera sanaa ....Ukawe mtumishi mwemaMu
Mungu yu Mwema hakika, hatimae nimo.
Thanks Team, tuendelee kumuomba mema Mungu Kwa mafanikio ya Kila Moja wetu.[emoji1666]
Ahsante kaka, ninashukuru.
Bhs Jambo JemaNaam nilipiga
Hili litakuwa changa la macho la nguvu!! Udanganyifu utakuwa mwing!! Watu watafanyiana mitihaniTushafika AzamtvView attachment 2763932
Sizani. Nahisi watakuwa na center zao kufanyiaHili litakuwa changa la macho la nguvu!! Udanganyifu utakuwa mwing!! Watu watafanyiana mitihani
Hongera mkuuFrom Database nimeruka na kitu cha Halmashauri. Mungu ni mwema.
From Database nimeruka na kitu cha Halmashauri. Mungu ni mwema.
Hongera sana Rafiki yangu, Mungu azidi kukusinamamia kwenye utumishi wako.Nipo nafanya ujasiriamali since 2016.
2022 mwezi wa 5 nikarusha karata ya kwanza utumishi.
2023 mwezi 2 nikaitwa interview ya kwanza utumishi.
Both Web & App selected for Oral
2023 Mwezi 9 napata kazi ya kwanza utumishi.
Hongera sanaaa mkuu....Ukawe mtumishi mwemaFrom Database nimeruka na kitu cha Halmashauri. Mungu ni mwema.
Wakati wa Mungu ni wakat sahhNipo nafanya ujasiriamali since 2016.
2022 mwezi wa 5 nikarusha karata ya kwanza utumishi.
2023 mwezi 2 nikaitwa interview ya kwanza utumishi.
Selected for Oral Both Web & App
2023 Mwezi 9 napata kazi ya kwanza utumishi.