Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Sure man , Utumishi wafungue milango watu tuingie kwenye asali zamu hii ,maana kuna ngedere walishaonyesha true colours awamu hii ,so huwezi jua awamu ijayo itakuwaje ,unaweza ukakuta kabisa wanaifuta kabisa hii PSRS .
Sir God atuone Tu .
Hongera mliolamba asali
 
Hizo status hazina ishu mzee ukifika oral we skilizia tu pdf...mi nina hyo selected mwaka sas ushapit na sijapata kz
Hapo sawa nimekuelewa.
Kuna kazi naapply utumishi, nina qualifications zote lakini inagoma. Imenipa hasira sana
 
Mungu ni mwema, wadau na mm leo nimelamba asali namshukuru sana mungu, nawashukuru wana uzi huu kwa faraja zenu kipindi nasubilia placement wadau msikate tamaa wakati wa mungu ndio wakati sahihi, lakn pia naamini yajayo yanafurahisha kwa upande wenu.
Hongera sana mwamba.

Hatimaye ile siku imefika.

Ukawe mtumishi bora mwenye kufuata taratibu,sheria na miiko ya kazi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mungu ni mwema, wadau na mm leo nimelamba asali namshukuru sana mungu, nawashukuru wana uzi huu kwa faraja zenu kipindi nasubilia placement wadau msikate tamaa wakati wa mungu ndio wakati sahihi, lakn pia naamini yajayo yanafurahisha kwa upande wenu.
Hongera sana ndugu kwa kulamba asali , umefanya usahili lini ? Au wamekuchomoa Data base ?
 
Mungu ni mwema, wadau na mm leo nimelamba asali namshukuru sana mungu, nawashukuru wana uzi huu kwa faraja zenu kipindi nasubilia placement wadau msikate tamaa wakati wa mungu ndio wakati sahihi, lakn pia naamini yajayo yanafurahisha kwa upande wenu.
Nimefurahi sana kijana, moja ya wadau wa huu uzi umelamba asalii. hongera sana afsa vp ulipiga oral lini , na vp status kwa app?
 
Mk
Mungu ni mwema, wadau na mm leo nimelamba asali namshukuru sana mungu, nawashukuru wana uzi huu kwa faraja zenu kipindi nasubilia placement wadau msikate tamaa wakati wa mungu ndio wakati sahihi, lakn pia naamini yajayo yanafurahisha kwa upande wenu.
Mkuu..! Hongera sana asee, hakikia kweli Mungu ni mwema wakati wote, ukawe mtumishi mwema na mwadilifu ukachape kazi mkuu
 
Mungu ni mwema, wadau na mm leo nimelamba asali namshukuru sana mungu, nawashukuru wana uzi huu kwa faraja zenu kipindi nasubilia placement wadau msikate tamaa wakati wa mungu ndio wakati sahihi, lakn pia naamini yajayo yanafurahisha kwa upande wenu.
Hongera kaka karibu utumishi wa uma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…