Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

man kila niki scrow pdf nakutana na neno assistant vs assistant.

lakini nachomuomba MUNGU aliye juu. afanye wepesi nipate ajira utawala huu wa mama samia.

watakuja pimbi wengine , vijana tutaishia kuishi kwa ndugu,mashemeji nk full manyanyaso kama zamani.
Sure man , Utumishi wafungue milango watu tuingie kwenye asali zamu hii ,maana kuna ngedere walishaonyesha true colours awamu hii ,so huwezi jua awamu ijayo itakuwaje ,unaweza ukakuta kabisa wanaifuta kabisa hii PSRS .
Sir God atuone Tu .
Hongera mliolamba asali
 
Hizo status hazina ishu mzee ukifika oral we skilizia tu pdf...mi nina hyo selected mwaka sas ushapit na sijapata kz
Hapo sawa nimekuelewa.
Kuna kazi naapply utumishi, nina qualifications zote lakini inagoma. Imenipa hasira sana
Screenshot_2023-09-28-19-55-44-314_com.UCMobile.intl.jpg
 
Mungu ni mwema, wadau na mm leo nimelamba asali namshukuru sana mungu, nawashukuru wana uzi huu kwa faraja zenu kipindi nasubilia placement wadau msikate tamaa wakati wa mungu ndio wakati sahihi, lakn pia naamini yajayo yanafurahisha kwa upande wenu.
Hongera sana mwamba.

Hatimaye ile siku imefika.

Ukawe mtumishi bora mwenye kufuata taratibu,sheria na miiko ya kazi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mungu ni mwema, wadau na mm leo nimelamba asali namshukuru sana mungu, nawashukuru wana uzi huu kwa faraja zenu kipindi nasubilia placement wadau msikate tamaa wakati wa mungu ndio wakati sahihi, lakn pia naamini yajayo yanafurahisha kwa upande wenu.
Hongera sana ndugu kwa kulamba asali , umefanya usahili lini ? Au wamekuchomoa Data base ?
 
Mungu ni mwema, wadau na mm leo nimelamba asali namshukuru sana mungu, nawashukuru wana uzi huu kwa faraja zenu kipindi nasubilia placement wadau msikate tamaa wakati wa mungu ndio wakati sahihi, lakn pia naamini yajayo yanafurahisha kwa upande wenu.
Nimefurahi sana kijana, moja ya wadau wa huu uzi umelamba asalii. hongera sana afsa vp ulipiga oral lini , na vp status kwa app?
 
Mk
Mungu ni mwema, wadau na mm leo nimelamba asali namshukuru sana mungu, nawashukuru wana uzi huu kwa faraja zenu kipindi nasubilia placement wadau msikate tamaa wakati wa mungu ndio wakati sahihi, lakn pia naamini yajayo yanafurahisha kwa upande wenu.
Mkuu..! Hongera sana asee, hakikia kweli Mungu ni mwema wakati wote, ukawe mtumishi mwema na mwadilifu ukachape kazi mkuu
 
Mungu ni mwema, wadau na mm leo nimelamba asali namshukuru sana mungu, nawashukuru wana uzi huu kwa faraja zenu kipindi nasubilia placement wadau msikate tamaa wakati wa mungu ndio wakati sahihi, lakn pia naamini yajayo yanafurahisha kwa upande wenu.
Hongera kaka karibu utumishi wa uma
 
Back
Top Bottom