Pole sana, ulisoma AEA nn?daah sio poah wengi wakongwe + wageni wa huu uzi wamepata kazi.
sahili mpya za mchumi ,agro , market angalau niongeze received nazo zimekauka.
kitaa nacho sio mchezo nimwendo wa doso tuu
bila shaka mkuu,Pole sana, ulisoma AEA nn?
utawasalimu TARI mkuuPole sana, ulisoma AEA nn?
Hongera sana mkuu, ukawe mtumishi mwema na mwadilifuTuwaamini sana utumishi ,hatimaye nimelamba asali kutoka database
Daaah raha sana ukiona wana wanalamba asali kama utani ivi😃😀😀mwamba rinyungu honera sana na ukawe mtumishi mwemaaMungu ni mwema, wadau na mm leo nimelamba asali namshukuru sana mungu, nawashukuru wana uzi huu kwa faraja zenu kipindi nasubilia placement wadau msikate tamaa wakati wa mungu ndio wakati sahihi, lakn pia naamini yajayo yanafurahisha kwa upande wenu.
Mkuu time will tell, siku Yako Ipo inakuja mbele Kuna zuri zaidi linakuja Amin ilo mkuudaah sio poah wengi wakongwe + wageni wa huu uzi wamepata kazi.
sahili mpya za mchumi ,agro , market angalau niongeze received nazo zimekauka.
kitaa nacho sio mchezo nimwendo wa doso tuu
Asante sana mwamba!Daaah raha sana ukiona wana wanalamba asali kama utani ivi😃😀😀mwamba rinyungu honera sana na ukawe mtumishi mwemaa
ukawe mtumish mwemaaHatamaeee nimeingia kwenye asali mbichi ya baharii toka mwaka jana mwezi wa 11 leoo 28.9.2023
hongera sana ukawe mtumishi mwemaa.Tuwaamini sana utumishi ,hatimaye nimelamba asali kutoka database
Hongera sana!! tunakutakia utumishi mwema!Hatamaeee nimeingia kwenye asali mbichi ya baharii toka mwaka jana mwezi wa 11 leoo 28.9.2023
Kweli mkuu saa hivi kwa tunaosubiri database tuombe Mungu tukaongeza received pia.daah sio poah wengi wakongwe + wageni wa huu uzi wamepata kazi.
sahili mpya za mchumi ,agro , market angalau niongeze received nazo zimekauka.
kitaa nacho sio mchezo nimwendo wa doso tuu
Hongera sana...Ukawe mtumishi mwemaMungu ni mwema, wadau na mm leo nimelamba asali namshukuru sana mungu, nawashukuru wana uzi huu kwa faraja zenu kipindi nasubilia placement wadau msikate tamaa wakati wa mungu ndio wakati sahihi, lakn pia naamini yajayo yanafurahisha kwa upande wenu.
Hapo maana yake amefika ile passmark ya 50 na amehifadhiwa database. Sasa kama database kuna foleni na nafasi zikitokea wanaanza kwanza wenye high marks na sio nani katangulia kuingia databaseHapo kubadilika sio rahisi kwani mabadiliko ya mwisho yanatakiwa kuwa hivyo Selected / not selected for oral.
Sali sana
Asante sana mwamba!!Hongera sana...Ukawe mtumishi mwema
Sahihi angechukuliwa aliyetangulia kufanya interview maana uzito wa mtihani haufanani.Hapo maana yake amefika ile passmark ya 50 na amehifadhiwa database. Sasa kama database kuna foleni na nafasi zikitokea wanaanza kwanza wenye high marks na sio nani katangulia kuingia database
Kwa mara ya kwanza naenda Dodoma kwenye usaili. Nimepanga safari yangu na gharama zake. Sasa nimepata picha Jobless mnavyoumia.
Na kukopo juuUmeona eeh! Mkuu yani ukipiga interview 6 Dom unakuwa ushatumia karibu 1M aise