Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kama ntafanikiwa kufika dom leo .

Sitarudia kusafiri usiku,sa hivi sa nane na dk 28 gari limeharibikia dakawa .

Nina interview saa moja kamili eh mungu nisaidie.
Nashauri mlio na mkando Jumatatu, jitahidini msafiri mapema(siku ya jumapili ) ingawa najua kuna changamoto mbali mbali ikiwemo upungufu wa hela ya mahitaji.

Kusafiri usiku ili kesho yake ukafanye usaili ni risk sana, hilo jambo hakuna kuhadithia sana, ushuhuda ndio huu kutoka Twinawe aliwahi kukosa usaili kwa kusafiri usiku then akapata changamoto.

Kila la kheri kwenye maandalizi yenu Mungu akawe upande wenu.
 
Nashauri mlio na mkando Jumatatu, jitahidini msafiri mapema(siku ya jumapili ) ingawa najua kuna changamoto mbali mbali ikiwemo upungufu wa hela ya mahitaji.

Kusafiri usiku ili kesho yake ukafanye usaili ni risk sana, hilo jambo hakuna kuhadithia sana, ushuhuda ndio huu kutoka Twinawe aliwahi kukosa usaili kwa kusafiri usiku then akapata changamoto.

Kila la kheri kwenye maandalizi yenu Mungu akawe upande wenu.
Ni kweli kabisa mkuu, ni afadhali mtu afanye kukata ticket bus za kuanzia mchana ili aingie Dom usiku afikie pale Stand apigie msuli pale.
 
Nashauri mlio na mkando Jumatatu, jitahidini msafiri mapema(siku ya jumapili ) ingawa najua kuna changamoto mbali mbali ikiwemo upungufu wa hela ya mahitaji.

Kusafiri usiku ili kesho yake ukafanye usaili ni risk sana, hilo jambo hakuna kuhadithia sana, ushuhuda ndio huu kutoka Twinawe aliwahi kukosa usaili kwa kusafiri usiku then akapata changamoto.

Kila la kheri kwenye maandalizi yenu Mungu akawe upande wenu.
Nakazia kuhusu ili maana mi ndo nilikua muhanga .
Bora ulale stand ila kufika mapema dodoma ni muhimu sana gari ilikatika bearing shaft safari iliishiaga pale hatukuweza kupata msaada wowote mpaka asubuhi sa 12.

Hakuna gari lilikua linasimama eneo hilo ni eneo baya magari yote yanapita speed na yalikua yanapita zaidi ni magari ya mizigo.

Hili kuepusha haya safiri mapema tu.
 
Nashauri mlio na mkando Jumatatu, jitahidini msafiri mapema(siku ya jumapili ) ingawa najua kuna changamoto mbali mbali ikiwemo upungufu wa hela ya mahitaji.

Kusafiri usiku ili kesho yake ukafanye usaili ni risk sana, hilo jambo hakuna kuhadithia sana, ushuhuda ndio huu kutoka Twinawe aliwahi kukosa usaili kwa kusafiri usiku then akapata changamoto.

Kila la kheri kwenye maandalizi yenu Mungu akawe upande wenu.
Mwifwa Mungu akubariki sana kaka.... Ushalamba asali... lakini huwachi walio nyuma yako kuwapa ABC Mkuu Mungu akubariki sana asee
 
Hivi aliyesababisha kuleta mishahara ya TGS ni nan?

Kwanini wengine walambe asali pure kabisa na wengine makapi??
[emoji1787][emoji1787].... ukichunguza kwa makini utagundua wanaoogelea kwenye TGS wengi wao hawatumii nguvu nyingi sanaa kwenye kuiingizia serikali mapato. Ni kama watoa huduma, sasa ili taasisi ibadilishiwe scale ni lazima ionyeshe inazalisha product au huduma. Japo kuna mahali wanazalisha na kuuza lakini bado wanalamba TGS.
Lakini ni matumaini yangu kwamba haya mambo yataenda badilika huko mbeleni.
 
Hivi aliyesababisha kuleta mishahara ya TGS ni nan?

Kwanini wengine walambe asali pure kabisa na wengine makapi??
Mshahara si hoja nenda kazini Rafiki zangu wengi wanapokea 241,000 mpaka 300,000 baada ya makato yote lakini wanatembelea ma crown na Volks wagen, ada wanalipa, kodi wanalipa na wanasaidia wazazi, ingia kwanza kazini mkuu
 
Hivi aliyesababisha kuleta mishahara ya TGS ni nan?

Kwanini wengine walambe asali pure kabisa na wengine makapi??
Pale serikali ilipoamua taasisi zijiendeshe kibiashara ndo likapatikana kundi la wazalishaji (TRA,BANDARI,MAMLAKA ZA MAJI,TPDC,EWURA,TANAPA,TAA,TASAC,BLERA, LITA,NK) na kundi la wategemezi wanaosubiri ao wa juu wazalishe ndo na wao wagawiwe (HALMASHAURI,WIZARA,)
 
Mshahara si hoja nenda kazini Rafiki zangu wengi wanapokea 241,000 mpaka 300,000 baada ya makato yote lakini wanatembelea ma crown na Volks wagen, ada wanalipa, kodi wanalipa na wanasaidia wazazi, ingia kwanza kazini mkuu
[emoji4][emoji4], kila kijiwe kina mambo yake!! Usidharau TGS kabisa! Kuna sehemu wanapokea TGS ila ukiwatazama kwa undani unagundua kuna siri. Si vyema kuanika mambo kama hayo sehemu ya public kama hapa. Lakini unachotakiwa ni kujituma ukifika huko utakapopangiwa na PSRS.
 
[emoji4][emoji4], kila kijiwe kina mambo yake!! Usidharau TGS kabisa! Kuna sehemu wanapokea TGS ila ukiwatazama kwa undani unagundua kuna siri. Si vyema kuanika mambo kama hayo sehemu ya public kama hapa. Lakini unachotakiwa ni kujituma ukifika huko utakapopangiwa na PSRS.
[emoji3][emoji3] Kabisa nenda karipoti kazini kwanza.
 
Pale serikali ilipoamua taasisi zijiendeshe kibiashara ndo likapatikana kundi la wazalishaji (TRA,BANDARI,MAMLAKA ZA MAJI,TPDC,EWURA,TANAPA,TAA,TASAC,BLERA, LITA,NK) na kundi la wategemezi wanaosubiri ao wa juu wazalishe ndo na wao wagawiwe (HALMASHAURI,WIZARA,)
Upo sahihi mkuu! Lakini hii haitakiwi kumkatisha tamaa mtumishi bali iwe chachu ya kuumiza kichwa na kuona namna nzuri ya kujituma kwa nafasi yake ili kuleta matokeo chanya. Na vilevile kutumia fursa zilizokuzunguka...usipende kukaa bure tuu kwa sababu serikali itakulipa mshahara hata kama hauufanyii kazi kivile.
Work hard, work hard.. be self motivated....
 
[emoji1787][emoji1787].... ukichunguza kwa makini utagundua wanaoogelea kwenye TGS wengi wao hawatumii nguvu nyingi sanaa kwenye kuiingizia serikali mapato. Ni kama watoa huduma, sasa ili taasisi ibadilishiwe scale ni lazima ionyeshe inazalisha product au huduma. Japo kuna mahali wanazalisha na kuuza lakini bado wanalamba TGS.
Lakini ni matumaini yangu kwamba haya mambo yataenda badilika huko mbeleni.
Hii sio fair kabisa,,,, penepo njaa wakuu hakukosi unafiki, uchawi, majungu na kujipendekeza.
 
Upo sahihi mkuu! Lakini hii haitakiwi kumkatisha tamaa mtumishi bali iwe chachu ya kuumiza kichwa na kuona namna nzuri ya kujituma kwa nafasi yake ili kuleta matokeo chanya. Na vilevile kutumia fursa zilizokuzunguka...usipende kukaa bure tuu kwa sababu serikali itakulipa mshahara hata kama hauufanyii kazi kivile.
Work hard, work hard.. be self motivated....
Kichwa lazma kikuume ukitaka usitake mwenzako ulie ajiriwa nae sawa yeye yuko TCRA ww upo halmashauri ya tunduma huko ndani ndani ,mwenzako anavuta parefu ww siku zote kishahara mkia hakuna hata posho alaf unasema kichwa kisikuume 😅😅sio fair kabisa.
 
Pale serikali ilipoamua taasisi zijiendeshe kibiashara ndo likapatikana kundi la wazalishaji (TRA,BANDARI,MAMLAKA ZA MAJI,TPDC,EWURA,TANAPA,TAA,TASAC,BLERA, LITA,NK) na kundi la wategemezi wanaosubiri ao wa juu wazalishe ndo na wao wagawiwe (HALMASHAURI,WIZARA,)
Mkuu Twinawe hivi hawa mamlaka za maji Kuna kitu kweli mule, naona nao wanatumia TGS tu.
 
Kichwa lazma kikuume ukitaka usitake mwenzako ulie ajiriwa nae sawa yeye yuko TCRA ww upo halmashauri ya tunduma huko ndani ndani ,mwenzako anavuta parefu ww siku zote kishahara mkia hakuna hata posho alaf unasema kichwa kisikuume [emoji28][emoji28]sio fair kabisa.
Unajua watu wengi mnapima maendeleo kwa mahali mtu alipo na sio vile anavyomiliki. Muhasibu wa halmashauri ya tunduma anaweza kukusanya hela nyingi kuliko huyo engineer wa TCRA na kwa sababu sehemu kama tunduma maisha yako chini maana yake huyu wa halmashauri anaweza kumiliki properties na assets nyingi kuliko mtu wa TCRA.

Huwa tuna joke kuhusu TGS lakini ukifuatilia mtu wa TCRA anaeishi kinondoni, makongo ama goba ana waste hela nyingi wakati huyu wa tunduma ana accumulate hela nyingi.

Ndio maana ukienda halmashauri kama hizo unakuta kila mtu anamiliki mijengo na ardhi za kutosha ila wewe wa TCRA unamiliki SUBARU forester , iphone 12 na Demu mkali.
 
Unajua watu wengi mnapima mafanikio kwa mahali mtu alipo na sio vile anavyomiliki. Muhasibu wa halmashauri ya tunduma anaweza kukusanya hela nyingi kuliko huyo engineer wa TCRA na kwa sababu sehemu kama tunduma maisha yako chini maana yake huyu wa halmashauri anaweza kumiliki properties na assets nyingi kuliko mtu wa TCRA.

Huwa tuna joke kuhusu TGS lakini ukifuatilia mtu wa TCRA anaeishi kinondoni, makongo ama goba ana waste hela nyingi wakati huyu wa tunduma ana accumulate hela nyingi.

Ndio maana ukienda halmashauri kama hizo unakuta kila mtu anamiliki mijengo na ardhi za kutosha ila wewe wa TCRA unamiliki SUBARU forester , iphone 12 na Demu mkali.
kwani mafanikio ni ku accumulate mali au ni ku balance kutumia na cha ku save?

Sent from my SM-G9500 using JamiiForums mobile app
 
Unajua watu wengi mnapima mafanikio kwa mahali mtu alipo na sio vile anavyomiliki. Muhasibu wa halmashauri ya tunduma anaweza kukusanya hela nyingi kuliko huyo engineer wa TCRA na kwa sababu sehemu kama tunduma maisha yako chini maana yake huyu wa halmashauri anaweza kumiliki properties na assets nyingi kuliko mtu wa TCRA.

Huwa tuna joke kuhusu TGS lakini ukifuatilia mtu wa TCRA anaeishi kinondoni, makongo ama goba ana waste hela nyingi wakati huyu wa tunduma ana accumulate hela nyingi.

Ndio maana ukienda halmashauri kama hizo unakuta kila mtu anamiliki mijengo na ardhi za kutosha ila wewe wa TCRA unamiliki SUBARU forester , iphone 12 na Demu mkali.
Haya niambie unalipwa 520k no posho no perdiem hizo accumulation za assets utazitolea wapi kama si mwizi.
Una familia pia inakutegemea
 
Back
Top Bottom