Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

kama tumeweza kuvumilia results ya NOT SELECTED FOR ORAL after written interview , pamoja na kuoneshwa passmark zetu. kipi kitashindwa kuvumilika kuona results ya oral incase ni mchinjo ama neema kwenye account ya jobless
Eti wanasema wakikuambia umefaulu alafu nafasi isipatikane utawasmbua πŸ˜…πŸ˜…
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…