Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

kama tumeweza kuvumilia results ya NOT SELECTED FOR ORAL after written interview , pamoja na kuoneshwa passmark zetu. kipi kitashindwa kuvumilika kuona results ya oral incase ni mchinjo ama neema kwenye account ya jobless
Eti wanasema wakikuambia umefaulu alafu nafasi isipatikane utawasmbua 😅😅
 
Mambo yawe kama wanavyofanya TAESA. Ukitoka oral unaingia kwenye account yako kujua kama umepass au lah. Faida ni nying za kutoa matokeo ya oral zaid ya hasara
20231004_130014.jpg
 
Back
Top Bottom