Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Mimi simjui huyu mwamba. Nimekuja kumuona huku kwenye post na comments zenu hakika amenigusa sana. Mungu ambariki kwa kugusa mioyo ya watu. Naamini ipo
Siku kila mtu mwenye uhitaji humu atakuja kusimulia na kushuhudia ukuu wa Mungu. Kila
La kheri kwa wapambanaji wote safari ya neema ni kwa kila mtu. Kikubwa uvumilivu
 
Anajifanya ananilaani, kisa nimeandika vitu vya kumkera

Sijakulaani kama kuna mashahidi humu na usivyo na bahati na mimi kila unapocomment huwa nakuwa jukwaani.

Ndugu unajikweza sana na kila ajikwezae hushushwa, Nebuchadnezzar alikuwa mtawala wa Babel alijitukuza mno alijiona ni Mungu, sasa akafanywa hayawani akala nyasi porini kwa miaka 7 kisha alipotoka huko alikuwa humble sana na alimtambua Mungu ni Mungu juu ya miungu.

Unawadhihaki watu wa Halmashauri yaani kifupi YOU ARE THE BEST OF THE BEST CONQUEROR OF EVERYTHING ON LAND,WATER AND SKY.

Hebu jishushe onesha uwezo wako pasipo kutoa negative remarks kwa wengine, hujui hiko unachoona kidogo kina msaada gani kwa wengine? Be humble ama subiri uwe humbled kwa kula nyasi kama Nebuchadnezzar.

Kama nimeumiza EGO yako, niwie radhi.
 
Hahahahaha! Kwanini mkuu? Hebu tupe maarifa walau kidogo kwenye hili, hasa kuhusu mfalme Nabu. Pengine vijana kwenye angle mbali mbali zaidi hata ya ajira, kuna mahala huwa tunakosea.
Huwa ana tudharau twa bei nafuu huyu Mkuu.
 
Hakika. jamaa alikuwa na uvumilivu sana. Kila siku alikuwa akiwapongeza wenzake huku akisubili zamu yake. Ni miongoni mwa watu waliodumu na huu uzi kwa mda mrefu.
 
Hivi ni kweli ulikua mlinzi?
Naijibu hii mkuu kwa faida ya wengine, Nikweli nilikua mlinzi kampuni moja ni tawi la SGA SECURITY inaitwa IRONSIDE LIMITED IPO ROSEGARDEN KWA MWALIMU,

nilipangiwa kituo cha kazi hapo vingunguti. mshahara kipindi cha probation period ni 140k

but nilimove on kwenda kujiegesha sehemu , aiseeh jobless wanateseka nyie acha niishie hapa.
 
Kwani mimi ndio nimesema nanunua Subaru?
Mimi ni Assistant Lecturer na sio TA.
 
Hongera sana mkuu.

Kikubwa ni kutokata tamaa.

Uliishi maisha magumu ya dhiki na kujitoa muhanga kwa ajili ya kukidhi mahitaji ya leo yako ila ndani yako ulikua unaiona kesho yako kubwa na Mungu ameshafungua mlango tayari upo katika reli ya safari yako ya mafanikio. (Story yako inafanana sana na mimi ila katika mazingira tofauti)
 
- kwa hiyo Huwa unafurahi sana ukikuta comments zangu jukwaani?
 
Amina ,Ashukuriwe MUNGU.
wote kwenye huu uzi ,ndoto zetu zitimie inshallah.
 
Mr tutor hapatani na halmashauri kabisa sijui kwanini
 
[emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…