Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Asilimia 98, Wanaojitolea wakienda Utumishi wanapigwa za Uso... Unajua kwann?? Kwa sababu hata hizo nafasi za kujitolea walipata bila ushindani... Inshort compitent hawana.... So wakubwa wakaona Utumishi watawaulia watoto wao 🤣, wakaamua Taasisi ziajiri wenyewe ili wapenye.... Kama wako vizuri Wakitoka huko waende wakapigishwe paper la Utumishi.
 
Uko sahihi wengi hawawezi kushindana, mimi huwa nasema siku zote kuna taasisi kama NSSF watoa huduma wanaleta sana nyodo ni sababu hawa COMPETE hawajui ni jasho kiasi gani linatoka kufaulu written, Practical na Oral, hawajawahi kulala stand wala kupanda Lori kuhudhuria usaili kwa shuhuda za kina mfwende hapa huwezi tarajia mtu alete nyodo na dharau kazini.

Hawa NSSF and the likes wanatakiwa kufika College of informatics waandike mtihani.
 
Duh
 

Hongera sana brother
 
Namshauri akachongeshe cheti kipya cha kuzaliwa hapo Rita.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…