Ukiona wamepost ujue mambo yote yaliyochini ya himaya yao yashakamilika, kama wameirudisha PDF huenda wanakamilisha mambo yaliyopungua/sahaulika.Kazi mnoo. Afu majina alioyapunguza, atayapost tena pdf lingine. Jumatatu sijui jumanne. Wale sio changamoto, maana ni uhakika nafasi yao ipo.
Sisi ambao hatujui siku wala saa ndio tunapata tabu. Maana hapo majina mengine hadi yaliyopunguzwa waitwe tena.
Wakipost majina mengi kwani ni kinyume cha sheria?! Au wanapenda kutupa psychological torture?!
Tupostie hapa mkuu tuuone kama uliwahi kuupakuaYah Jana saa nne IT aliweka.mkeka tofauti na huu akaufuta ndo amekuja kuupost huu leo.
Ulikuwa na watu zaidi ya 200
Huo hapoView attachment 20231410130324TANGAZO LA KUITWA KAZINI TAASISI MBALIMBALI ZA UMMA.pdfTupostie hapa mkuu tuuone kama uliwahi kuupakua
Sio huo unaouona nimekwambia ulikuwa na watu 200+ wameufuta kuna taasisi nyingi zilikuwepo.Oh sawa mkuu naona kuna mikeka 2 pale wa tarehe 14 na 2 ya tarehe 13,itakua mmoja ndio huo alioutoa
Sawa nimekuelewaUkiona wamepost ujue mambo yote yaliyochini ya himaya yao yashakamilika, kama wameirudisha PDF huenda wanakamilisha mambo yaliyopungua/sahaulika.
Huenda ni human error labda Muda wa kuyatoa ulikuwa bado..Ule mkeka admin alioupost wenye majina zaidi ya 200+ wenye taasisi kama OCEAN ROAD,TAEC ,Wizara ya kulimo na Halmashauri nyingi.
Kiukweli Admin IT inabidi haupost tu Hana budi.
Maana atasababisha psychology torture kubwa kwa Jamii.
Maana tunao tayari na majina tumeyazumu.
Kwanini AFUTWE.
au nimshitaki kwa boss wake
Ameuweka tayariHuenda ni human error labda Muda wa kuyatoa ulikuwa bado..
Sasa huu mbona upo pale kwenye web
Watatoa tu mkuu sidhni kama hiko ni kikwazo,bado kuna taasis zimefnya saili hawajaitaKIUKWELI KWA HII MKEKA ILIYOTOKA JANA INA WATU ZAIDI YA 600+
nadhani wasubiri mikeka tujipe wiki mbili za kupumzika.
Maana masjala ya wazi itakuwa busy sana wiki ijayo .
Haukuwepo waliokuwa wanafuatilia Jana wanaelewa soma post za juu.Sasa huu mbona upo pale kwenye web
Sawa mkuuAmeuweka tayari
Mkeka wa watu zaidi ya 200, upo na umepostiwa jana.Yah Jana saa nne IT aliweka.mkeka tofauti na huu akaufuta ndo amekuja kuupost huu leo.
Ulikuwa na watu zaidi ya 200
Wazima,ndugu zangu ..first experience kuhusu utumishi nilipata humu na ndo ilikuwa first interview hatimae Leo nimepata placement ..Mungu ashukuriwe ..alieanzisha huu Uzi uzidi kubarikiwa
Hongera sana mkuu, ukawe mtumishi mwema na mwadilifu ukachape kazi mkuu, kila la kheri mkuuDaah hatimae na mimi nimefikiwa ndugu zangu,Mungu ni mwema. Niache kubeba magogo sasa japo yana hela nyingi.
Hongera sana mkuu ukawe mtumishi mwema na mwadilifu ukachape kazi, kila la kheri mkuuWazima,ndugu zangu ..first experience kuhusu utumishi nilipata humu na ndo ilikuwa first interview hatimae Leo nimepata placement ..Mungu ashukuriwe ..alieanzisha huu Uzi uzidi kubarikiwa