Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Sasa mtu unaenda halmashauri unategemea ukute watu wanakunywa supu kweli jamani
Kuna watumishi wa halmashauri baadhi wako vizuri sana. Nikucheza Tu na fursa hasa baadhi ambao wapo vijijin uko asee kuna ambao ukiwaona unakataa unaweza Sema ndo wakuu wa mikoa, vijijin uku watu wanapokataa ndo kuna fursa sasa
 
Kuna watumishi wa halmashauri baadhi wako vizuri sana. Nikucheza Tu na fursa hasa baadhi ambao wapo vijijin uko asee kuna ambao ukiwaona unakataa unaweza Sema ndo wakuu wa mikoa, vijijin uku watu wanapokataa ndo kuna fursa sasa
ni kweli watu hawajui tu.inategemea kuna watu halmashauri wanapesa chafu..
 
ni kweli watu hawajui tu.inategemea kuna watu halmashauri wanapesa chafu..
Kuna mkoa X niliwahi kuishi katika kijijin flani IV iyo sehemu ilikuwa na changamoto ya usafiri na Raia ni wengi sana mpaka kufika mjini nikama km23 IV mtumishi mmoja mwema na mwadilifu alikuwa ni mwalimu akaigeuza fursa, saiv hapo shuleni anafundisha mpaka jumamos ili Tu asihamishwe uko alipo
 
Kuna watumishi wa halmashauri baadhi wako vizuri sana. Nikucheza Tu na fursa hasa baadhi ambao wapo vijijin uko asee kuna ambao ukiwaona unakataa unaweza Sema ndo wakuu wa mikoa, vijijin uku watu wanapokataa ndo kuna fursa sasa
Sasa kuna watumishi wako visima vya asali hawachezi na fursa na wanakula maisha.

Mhasibu halmashauri analipwa laki 9 hapohapo Mhasibu wa TPDC unadhani analipwa tsh ngapi.

Unasema ukamatie fursa unadhani kupata fursa ni kazi rahisi kwenye kulima ,
 
Sasa kuna watumishi wako visima vya asali hawachezi na fursa na wanakula maisha.

Mhasibu halmashauri analipwa laki 9 hapohapo Mhasibu wa TPDC unadhani analipwa tsh ngapi.

Unasema ukamatie fursa unadhani kupata fursa ni kazi rahisi kwenye kulima ,
........Upo taasisi gani mzee?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…