Objective football
JF-Expert Member
- Oct 21, 2023
- 1,195
- 2,771
Na nasikia ukiingia halmashauri kuhamia taasis zingine,wizara za serikali kuna kauzibe balaa?Dah hizi halimashauri nyingine ziko Chaka kinomaa, Yani unpangiwa kazi ukienda kuripoti kama unaenda msumbiji au unaenda kwenye machimbo ya madini aiiisee, tuliyozaliwa mjini na kukulia mjini Kunahitaji uvumilivu wa Hali ya juu sana ,, Kuna halimashauri zimeanzishwa porini nyie usiombe , wewe ni CDO ukifika unapelekwa Tena ndani ndani kwenye kata huko!! 🤣🤣🤣
Naomba kuuliza kwa yeyote anaejua.Engineer wa halmashauri atafikia hapa baada kufanya kazi miaka 9.
Yeye anaanza na TGS E1 laki 9.9 atafanya kazi miaka 5 atapanda TGS F1 1.2M atafanya tena miaka 4 atapanda TGS G1 1.6M
inategemeana mkuu kuna intelligence officers wao USA na EUROPE nikama mwenge tu.Oohh shukrani mkuu hapo kwenye biashara nimekupata, ila kwenye ajira nina swali kidogo mfano hizi za vyombo vya ulinzi na usalama, zinaweza kumuwezesha mtu kusafiri kwa uhuru anapokuwa likizo
Kuomba Mungu sana ukute kuna huduma muhimu , wife wangu alipelekwa sehemu kupata maji ya kunywa ni mtiti.Dah hizi halimashauri nyingine ziko Chaka kinomaa, Yani unpangiwa kazi ukienda kuripoti kama unaenda msumbiji au unaenda kwenye machimbo ya madini aiiisee, tuliyozaliwa mjini na kukulia mjini Kunahitaji uvumilivu wa Hali ya juu sana ,, Kuna halimashauri zimeanzishwa porini nyie usiombe , wewe ni CDO ukifika unapelekwa Tena ndani ndani kwenye kata huko!! [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ni giza nene bora psrsKwakweli nilikuwa naomba PSRS Kama Kuna changamoto zitatuliwe , ila kwa taasisi kuajili zenyewe mh!!
Sent from my Infinix X6816 using JamiiForums mobile app
Yaah anatoaga,lkn leo atakua anasikiliza hafla za DP WORLDHivi IT uwa anatoaga mkeka JUMAPILI .
Nimeuliza tu ?
MUNGU akusimamie ndugu yangu, maisha ya jobless wengi ni huzuni mno.
Okay na hiko kibali ni lazima uwe na sababu kubwa ya kusafiri ndipo unapewa au hata ukisema tu unaenda kwa ajili ya matembezi binafsi wanakupaMkuu ni mpaka uombe kibali cha kusafiri ndipo usafiri.
Oohh na vipi kwa hawa ndugu zetu askari wa kawaida kama wanajeshi, usalama, polisi, uhamiaji, magereza, zimamoto, na je hao uliowataja hizo safari zinakuwa za kikazi au matembezi binafsi tu wakiamuainategemeana mkuu kuna intelligence officers wao USA na EUROPE nikama mwenge tu.
kuna kazi mfano wizara mambo ya nje wale Foreign service officers ,utafanya unacho kitaka huko duniani
Mkuu hapo ni kuongea na Mkuu wa Kikosi chako, ila wapiganaji mbona wana safari vizuri tuu.Okay na hiko kibali ni lazima uwe na sababu kubwa ya kusafiri ndipo unapewa au hata ukisema tu unaenda kwa ajili ya matembezi binafsi wanakupa
Nyingi niza kikazi chief. japo leisure haikosekaniOohh na vipi kwa hawa ndugu zetu askari wa kawaida kama wanajeshi, usalama, polisi, uhamiaji, magereza, zimamoto, na je hao uliowataja hizo safari zinakuwa za kikazi au matembezi binafsi tu wakiamua
vp bado yuko halmashauri till now,ama ulimpambania akasepa?Kuomba Mungu sana ukute kuna huduma muhimu , wife wangu alipelekwa sehemu kupata maji ya kunywa ni mtiti.
Kuna dogo namfahamu mtoto wa mkulima kaingia top ten Tax management. Ila yule dogo anajua hadi anakera alipiga Minaki EGM.Wale wa TRA haki imetendekaaa? Au mauza uza?
Ukifika huko kwenye kata wanakijiji wanakuita Afisa msomi.Dah hizi halimashauri nyingine ziko Chaka kinomaa, Yani unpangiwa kazi ukienda kuripoti kama unaenda msumbiji au unaenda kwenye machimbo ya madini aiiisee, tuliyozaliwa mjini na kukulia mjini Kunahitaji uvumilivu wa Hali ya juu sana ,, Kuna halimashauri zimeanzishwa porini nyie usiombe , wewe ni CDO ukifika unapelekwa Tena ndani ndani kwenye kata huko!! 🤣🤣🤣
Kabla kukujibu naomba nikuulize swali mkuu.Kuna kitu nahitaji kuuliza yeyote mwenye wazo au experience kuhusiana na hiki naomba anipe jibu, kati ya kuajiriwa au kujiajiri ni kipi kinamfaa mtu ambaye anapenda kusafiri yani yeye malengo yake ni kutafuta hela ili asafiri na kutalii tu nchi mbalimbali duniani kila mwaka, hana familia wala mtegemezi yeyote yule yani hela yake anayopata ni ya kutumia yeye na kusaidia wenye shida apatapo nafasi
Kwenye kuajiriwa inajulikana kwamba kila mwaka lazima kuna likizo ya mwezi kwa kila mtumishi ila kwenye kujiajiri ndio haijulikani atapata lini muda wa kusafiri, ikiwa biashara yake itahitaji uwepo wake kila siku maana nature ya biashara nyingi za kibongo hadi zije kusimama zenyewe kwa kuweka tu watu bila kuhitaji uwepo wako kila siku, basi itachukua muda mrefu kwahiyo malengo ya kusafiri nje kila mwaka atachelewa sana kuyatimiza
Ndio nimeona nililete kwenu wadau since huu uzi unahusiana na mambo ya ajira, yeyote mwenye maoni au ushauri juu ya mtu wa aina hiyo ni kipi kitamfaa kati ya kazi au biashara, natanguliza shukrani
chief hvii njia ya kupitisha barua kwa boss wako wa halmashauri unavoenda kupambania ajira utumishi,vipi haina vikwazo na makando kando mengi .Ukifika huko kwenye kata wanakijiji wanakuita Afisa msomi.
Majukukumu yako ni kufuatilia Vikundi na kuwakopesha Vijana, wamama 10%. Mikopo yenyewe hawarudishi
zamani alikua anatoa.Hivi IT uwa anatoaga mkeka JUMAPILI .
Nimeuliza tu ?
Ukiambatanisha na tangazo la ajira hakuna shida hawasumbuichief hvii njia ya kupitisha barua kwa boss wako wa halmashauri unavoenda kupambania ajira utumishi,vipi haina vikwazo na makando kando mengi .
Haha siyo mimi mkuu, mimi ni jobless mwandamizi ambaye hata hela ya kula tu ni mtihani, achilia mbali hiyo ya kusafiriKabla kukujibu naomba nikuulize swali mkuu.
1. Unataka kusafiri kwa kutumia makusanyo ya mshahara wako /biashara utakayoifanya?
AU
2. Au wewe ni wale watoto ambao baba zao walikuwa serikalini enzi ya Nyerere wakaastafu kipindi cha Mkapa wamekuachia apartment za kupangisha Masaki, ghorofa Kariakoo, mashamba Kibaigwa na milioni 600 benki?
By the way hobby yako ya kusafiri ni nzuri sana hata Mimi nilikuwa nayo