Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Mm kiukwelj taasisi niliyofanyia interview nimeifuatilia nimeiona kila baada ya miezi mitatu ndo wanaita watu kazini.

Nimefanya oral ndo nawait hapa.
 
Wanajua utatoa tu
 
Kwanza nimshukuru Mungu kwa kupata asali,

Pili, siku naenda kuchukua barua niliambiwa haya haya, ila kwa bahati nzuri nilikuwa nimebeba nguo nyingine maana nilikuwa naunganisha safari ya kwenda kuripoti kabisa kituo cha kazi.

Hivyo nikasogea pembeni kidogo. Nikapiga mchomeko wangu, nikachkua barua. Nikapanda basi, safari kanda ya ziwa.
 
Habari wakuu
Naomba kuuliza, hivi kwa kawaida huwa kuna usaili wa vitendo(practical) kwa kada ya technician II (civil) kwa mwajiri MDA's&LGA's, au huwa ni wa kuandika na mahojiano tu?
 
Kwenye ratiba wameandikaje?
Nimejichanganya kwa kweli, kwenye ratiba wameandika zote tatu, usaili wa kuandika, vitendo na mahojiano. Nipo njia panda, baada ya TRA kubadili ratiba ya usaili wa mahojiano kuwa tarehe 08/11, na hapo jana nimekuwa shortlisted utumishi mda's & lga's

Saili nilizonazo
Tarehe 05/11 -MDA's & LGA's - Written interview -Dodoma
**Tarehe 08/11 -TRA Oral interview- Dar es salaam
**Tarehe 08/11 - MDA's & LGA's - Practical interview -Dodoma
Tarehe 09/11 - MDA's & LGA's - Oral interview -Dodoma

Ushauri wenu wakuu
 

Saili hapa naona ni 1 tu mkuu Dom pekee.
 
Wanahitaji watu wangapi
 
Habari wakuu
Naomba kuuliza, hivi kwa kawaida huwa kuna usaili wa vitendo(practical) kwa kada ya technician II (civil) kwa mwajiri MDA's&LGA's, au huwa ni wa kuandika na mahojiano tu?
Mimi pia mkuu nimekuwa Shortlisted kwenye kada hii ya technician II (Civil) lakinii naomba kwa anaejua Practical huaga wanafanya practical ipii??
 
Kwa mim kama nafanya zile za oral zote

Sent from my Infinix X6816 using JamiiForums mobile app
 
naomba unisaidie tangazo la hiyo ratba ya tra iliyobadilika mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…