Utawala2025
JF-Expert Member
- Oct 20, 2023
- 1,144
- 2,755
Mimi Mara nyingi nikiomba kazi siombi ilmaradi naomba idadj pia naizingatia sasa just imagine TRA WANAHITAJI WATU 6 NA WAKO 24.Hahahahaha! Mkuu nimekukubali sana. Unatumia hoja kukubali au kukataa kitu, na sio kufuata wengi wanasema nini.
Mimi Mara nyingi nikiomba kazi siombi ilmaradi naomba idadj pia naizingatia sasa just imagine TRA WANAHITAJI WATU 6 NA WAKO 24.
INA MAANA Nafasi Ratio ni 1:4 so kama Hataenda kimasihala yaani Aende na Mungu,confidence na ushawishi anaiweza kutoboa .
Tukisema sehemu Fulani Ina connection haimaanishi asilimia zote wanaingiza watu kwa kujuana
Kwani tanesco wanaajiri lin jamani tumewamisi.....tushakosa TRA tuangaike na tanesco ssaImetema.
Pia EWURA,TBS,TCRA,TMDA,Kwani tanesco wanaajiri lin jamani tumewamisi.....tushakosa TRA tuangaike na tanesco ssa
Katika wote hapo tanesco ndo wanajitahd kdgo kutoa ajira nying kidgo
Hongereni mliolamba Asali.. Niliingia Oral ya CPB mwezi wa pili kazi za mikataba sijalamba asali ila inatia Moyo naona wadau jana kutoka database wameitwa kaz
One day yes....!Hongereni mliolamba Asali.. Niliingia Oral ya CPB mwezi wa pili kazi za mikataba sijalamba asali ila inatia Moyo naona wadau jana kutoka database wameitwa kazini.
Sorry ila kazi ya mkataba hawaweki kwenye Database.Hongereni mliolamba Asali.. Niliingia Oral ya CPB mwezi wa pili kazi za mikataba sijalamba asali ila inatia Moyo naona wadau jana kutoka database wameitwa kazini.
Naomba kuuliza hivi tanesco washawahi kuajiri kupitia PSRS au ni wanajiri wenyewe?Katika wote hapo tanesco ndo wanajitahd kdgo kutoa ajira nying kidgo
Wameshawahi ndioNaomba kuuliza hivi tanesco washawahi kuajiri kupitia PSRS au ni wanajiri wenyewe?
Sent from my Infinix X6816 using JamiiForums mobile app
Si bado bila bilakuna pdf uko
Tatizo psrs wameamua kututenga ,sasa tutafanyaje ?Doni vill kimenuka uko..
Kila siku naona agricultural officers ,librarians , community development officers , accountants & auditors Ila sisi big noDoni vill kimenuka uko..
Kitambo mno tangia waajiri kupitia psrs ,ni as if hamna watu wanaostaafu au kufariki humo kwenye hilo shirika , kuna njemba zimekaba nafasi huko kama temporary employees .Wameshawahi ndio
TBS, TMDA walishaajiri mwaka huu na mwaka jana. Tena TBS ilichukua watu kutoka database.
Kada yako ni ipiKila siku naona agricultural officers ,librarians , community development officers , accountants & auditors Ila sisi big no
TCRA?TBS, TMDA walishaajiri mwaka huu na mwaka jana. Tena TBS ilichukua watu kutoka database.
Inaumiza sana ,ila ndio hivyo mtafutaji hachoki,never giver up,siku sahihi ikifika unapata hitaji la moyo wako.Hakuna kitu kinauma kama umefanya written leo unasubiri majibu kesho. Asubuhi unatoka Guest kabla ya saa NNE ili usihesabiwe siku ya pili. Siku nzima unazurura mjini matokeo wanatoa SAA 3/4 usiku "NOT selected for Oral"
Unakimbia stendi SAA 5 usiku kuwahi usafiri mabasi hakuna. Unalala kwenye viti vya chuma