mfwende sawadogo
JF-Expert Member
- Aug 2, 2021
- 2,466
- 5,659
Ni sahihi sanakila la kheri wakuu wangu kwenye upambanaji. hatuna sababu ya kukata tamaa mapema itafikia wakati wengi wetu tutapata michongo kwa wakati sahihi.
pia wakuu,turudisheni ule mfumo ukitoka tu written unaweka maswali yaliyo toka pepa . ile ilikua nzuri sana kuwapa miongozo wadau wapya
Kabisaa wazo nzurikila la kheri wakuu wangu kwenye upambanaji. hatuna sababu ya kukata tamaa mapema itafikia wakati wengi wetu tutapata michongo kwa wakati sahihi.
pia wakuu,turudisheni ule mfumo ukitoka tu written unaweka maswali yaliyo toka pepa . ile ilikua nzuri sana kuwapa miongozo wadau wapya
Kwa mfano, nliomba alowahi Fanya system analysis written and practical anisaidie. Nkaona kmya tu. Sio vizuri kama ushawahi Fanya msaidie mwenzio nawe Mungu atakujaaliakila la kheri wakuu wangu kwenye upambanaji. hatuna sababu ya kukata tamaa mapema itafikia wakati wengi wetu tutapata michongo kwa wakati sahihi.
pia wakuu,turudisheni ule mfumo ukitoka tu written unaweka maswali yaliyo toka pepa . ile ilikua nzuri sana kuwapa miongozo wadau wapya
Hii sio kweli wazee 😅😅😅Chuo cha Muhimbili kina asali tamu kuliko vyuo vyote Tanzania. Warden II, anaanza na PGSS 10. Hii hela ni zaidi ya salary ya Tutorial Assisstant vyuo vingine
Aisee, watu wanaogelea kwenye maokoto hatariSina hakika na exactly figure ya PGSS 10, ila kama Warden II na non teaching staff wa vyuo vingine wanaanza na PGSS 6 ambayo ni 1.2M na TA ni 1.6M hapo unaweza kuona PGSS 10 ni kiasi gani lazima ivuke 1.8M
Ebu ilete tuione mkuu, hata hivyo pale MUHAS kazi sio za kitoto, huwa ni mchaka mchaka sanaNgoja nitume Scheme of service ya MUHAS
pigia mstariNaona TanRoad wametangaza kazi.. ila unatuma kwa po,box, hii ina maana wameshaanza kuajiri wenyewe Au hawaeleweki.
hao jamaa watalamba asali mpaka wachokeMaafisa mifugo mkeka wao bado unatamba naona wanazidi kulamba asali..... ma cdo naona ushakata.
Siyo kweli hizo kazi ulizoona ni za mikataba as per project siyo permanent jobsNaona TanRoad wametangaza kazi.. ila unatuma kwa po,box, hii ina maana wameshaanza kuajiri wenyewe Au hawaeleweki.
DUCE pia walitangaza nafasi za Accounting Officer permanent unaomba kupitia DVCNaona TanRoad wametangaza kazi.. ila unatuma kwa po,box, hii ina maana wameshaanza kuajiri wenyewe Au hawaeleweki.
Ebu ilete tuione mkuu, hata hivyo pale MUHAS kazi sio za kitoto, huwa ni mchaka mchaka sana
PGSS ni scale uniform mkuu kama TGSMzee ni kweli hizo PGSS ziko kwa ngazi hizo lakini hazilingani na hela unayoisema ni hela ya kawaida sana. Msidanganyane
Naelewa ni constant kwa wastani Warden II mwenye degree kwa wastani analamba 800kPGSS ni scale uniform mkuu kama TGS
PGSS 6, ambayo ni 1.2MNaelewa ni constant kwa wastani Warden II mwenye degree kwa wastani analamba 800k