Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kabisaa wazo nzuri

Sent from my Infinix X6816 using JamiiForums mobile app
 
Kwa mfano, nliomba alowahi Fanya system analysis written and practical anisaidie. Nkaona kmya tu. Sio vizuri kama ushawahi Fanya msaidie mwenzio nawe Mungu atakujaalia

Sent from my Infinix X6816 using JamiiForums mobile app
 
Sina hakika na exactly figure ya PGSS 10, ila kama Warden II na non teaching staff wa vyuo vingine wanaanza na PGSS 6 ambayo ni 1.2M na TA ni 1.6M hapo unaweza kuona PGSS 10 ni kiasi gani lazima ivuke 1.8M
Aisee, watu wanaogelea kwenye maokoto hatari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…