ππMr. Tutor na Mwalusambaa mnatuchanganya mjue kwahiyo Warden Ii anakula 800,000 au 1.2?
Sio kweli ni 1.2Naelewa ni constant kwa wastani Warden II mwenye degree kwa wastani analamba 800k
PGSS 6 ni 1.2 MSio kweli ni 1.2
Take it from me nina uhakika 100% vyuo vingine ni PGSS 6 = 1.2M ila kwa Muhimbili ni kubwa zaidi ya hapo.Mr. Tutor na Mwalusambaa mnatuchanganya mjue kwahiyo Warden Ii anakula 800,000 au 1.2?
Jamaa atakuwa anachanganya kati ya warden na Janitor, wajukumu yao kama yana fanana hivi ,ila elimu ya chini ya kuwa Warden ni degreee (salary ni PGSS 6 sawa na 1.2M) na wakati Janitor elimu ya chini ni diploma na uanza na salary ya hiyo laki 8. Mfano SUA wanawatumia sana ma Janitor, ma warden ni wachacheTake it from me nina uhakika 100% vyuo vingine ni PGSS 6 = 1.2M ila kwa Muhimbili ni kubwa zaidi ya hapo.
janitor ni nani na waeden ni nani kwa tusiojua.Jamaa atakuwa anachanganya kati ya warden na Janitor, wajukumu yao kama yana fanana hivi ,ila elimu ya chini ya kuwa Warden ni degreee (salary ni PGSS 6 sawa na 1.2M) na wakati Janitor elimu ya chini ni diploma na uanza na salary ya hiyo laki 8. Mfano SUA wanawatumia sana ma Janitor, ma warden ni wachache
Take it from me nina uhakika 100% vyuo vingine ni PGSS 6 = 1.2M ila kwa Muhimbili ni kubwa zaidi ya hapo.
Vyuoni degree za miaka 3 ambao ni non-teaching staffs wote ni PGSS 6, bila kujali Warden, HR, Accountant, Mchumi e.t.cNilikuwa nawachukulia poa hawa jamaa kumbe wana asali nzuri tu........
Warden ni naniVyuoni degree za miaka 3 ambao ni non-teaching staffs wote ni PGSS 6, bila kujali Warden, HR, Accountant, Mchumi e.t.c
Tena warden lazima apewe nyumba ndani ya chuo labda akatae mwenyewe
Jibu rahisi ni Mtunza hostel za wanafunziWarden ni nani
na janitor mbona ni kama kitu 1Jibu rahisi ni Mtunza hostel za wanafunzi
Google search ya Janitor imeleta hivi π. Aisee kumbe kuna kazi tunazichukulia poa?na janitor mbona ni kama kitu 1
kwa hiyo ni mpiga deki..Google search ya Janitor imeleta hivi π. Aisee kumbe kuna kazi tunazichukulia poa?
ππππkwa hiyo ni mpiga deki..
Huyo warden pia anasafiri na wanafunzi wanapokwenda kucheza michezo mbali mbali hapo hesabu Perdiem bado hajauza vyumba au vitanda waliosoma udsm wanaelewa chumba hadi laki 3.Google search ya Janitor imeleta hivi π. Aisee kumbe kuna kazi tunazichukulia poa?
Warden ni kama Dean of Student katika universities ila hii warden inatumika sana kwenye Institution like DIT, IFM nk anashughulika na welfare za wanafunzi kwa ujumla ni kama Patron au MatronWarden ni nani
Hapana sijalamba asali bado ila nimeamua kukaa kimya na kuacha maisha yaende tuBwana Utawala2025 ushalamba asali nn? hutaki kabisa kupush!