Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Take it from me nina uhakika 100% vyuo vingine ni PGSS 6 = 1.2M ila kwa Muhimbili ni kubwa zaidi ya hapo.
Jamaa atakuwa anachanganya kati ya warden na Janitor, wajukumu yao kama yana fanana hivi ,ila elimu ya chini ya kuwa Warden ni degreee (salary ni PGSS 6 sawa na 1.2M) na wakati Janitor elimu ya chini ni diploma na uanza na salary ya hiyo laki 8. Mfano SUA wanawatumia sana ma Janitor, ma warden ni wachache
 
Jamaa atakuwa anachanganya kati ya warden na Janitor, wajukumu yao kama yana fanana hivi ,ila elimu ya chini ya kuwa Warden ni degreee (salary ni PGSS 6 sawa na 1.2M) na wakati Janitor elimu ya chini ni diploma na uanza na salary ya hiyo laki 8. Mfano SUA wanawatumia sana ma Janitor, ma warden ni wachache
janitor ni nani na waeden ni nani kwa tusiojua.
 

Attachments

  • Screenshot (124).png
    Screenshot (124).png
    454.6 KB · Views: 11
Back
Top Bottom