Liverpool VPN
JF-Expert Member
- Aug 29, 2020
- 6,958
- 16,358
Mkuu, umejaribu kutumia mfumo wa ESS kuomba transfer?Amen
Mungu mbeleee.
#YNWA
tupo wengi..Wakati mimi natamani huko nipelekwe hata sasa hivi, huku mtaani hakufai jamani toka 2016 mpaka leo sijaingia kwenye asali umri wa kustafu unasogea kwa kasi....!
utapata chieftupo wengi..
Nimejaribu huu mfumo mpaka sasa haujatoa majibu kwa sababu Waajiri na MaHR hawajajua namna ya kutumiaMkuu, umejaribu kutumia mfumo wa ESS kuomba transfer?
Muongo huyoNimeiona mjadara wa baadhi ya wadau kujua kama tayari wamesharamba asali TRA,
Na mm kwenye pita pita zangu nikakutana na icho kitu apo chin [emoji116].
Hii ina maana waliopiga oral TRA,n kwamba wameshatumiwa majibu yao aau.?
View attachment 2813116
Insha'AllahNgoja nikushirikishe machache tu ambayo yanaendelea huku maofisini ujue jinsi Dunia ilivyokuwa haina USAWA....
Mimi binafsi ni mwaka wa 3 huu natafuta uhamisho (nishafanya Kazi miaka 10, kwahiyo Nina sifa zotee za kupata uhamisho) ila sasa...
Nikiwa na hustle na kutafuta uhamisho
1. Kuna watu wanapata Kazi (ajira mpya) wanakuja kureport, anarudi home kusubiri cheki namba.
Ile anaipata, hata hajaanza Kazi, anakuja na barua ya uhamisho kahamishiwa Taasisi fulani. Kwa halmashauri anatemana nayo kihivyo
UNADHANI HUYU HATA AJIRA ALIIPA NJIA KAMA YAKO?
2. Mmepata ajira mpya, wewe unawaza umfundishe Kazi ili umuachie ofisi uhame.
Na uhamisho hutoka baada ya mwaka wa ajira (ukishathibitishwa).
Ndani chini ya mwaka mtu anakuja na barua ya uhamisho na anasepa anakuacha wewe wa miaka hapohapo.
3. Siku umekaa unahili wala lile, unashangaa DED kamind. Kisa kapokea simu kutoka juuu huko "mtumishi fulani anatakiwa ahame haraka"
Braza hii Dunia japo Kuna Mungu, ila Kuna watu Wana WATU, sio watu ni WATU.
Mungu akujalie upate ajira, ipo siku UTANIELEWA.
Karibu kwenye Utumishi wa Umma.
#YNWA
Mungu yupo nawe? Endelea kujaribuWakati mimi natamani huko nipelekwe hata sasa hivi, huku mtaani hakufai jamani toka 2016 mpaka leo sijaingia kwenye asali umri wa kustafu unasogea kwa kasi....!
Nimeiona mjadara wa baadhi ya wadau kujua kama tayari wamesharamba asali TRA,
Na mm kwenye pita pita zangu nikakutana na icho kitu apo chin 👇.
Hii ina maana waliopiga oral TRA,n kwamba wameshatumiwa majibu yao aau.?
View attachment 2813116
Wakati wa Mungu ni wakati sahihi.Wakati mimi natamani huko nipelekwe hata sasa hivi, huku mtaani hakufai jamani toka 2016 mpaka leo sijaingia kwenye asali umri wa kustafu unasogea kwa kasi....!
Sasa utapata wapi mtu wa kubadilishana nae.Mkuu, umejaribu kutumia mfumo wa ESS kuomba transfer?
Wakati wa Mungu ni wakati sahihi.tupo wengi..
Kengine...Nimejaribu huu mfumo mpaka sasa haujatoa majibu kwa sababu Waajiri na MaHR hawajajua namna ya kutumia
Sent from my SM-N950F using JamiiForums mobile app
Hakuna aliyetumiwa majibu ila Kuna watu Wana mkononi mrefu.Nimeiona mjadara wa baadhi ya wadau kujua kama tayari wamesharamba asali TRA,
Na mm kwenye pita pita zangu nikakutana na icho kitu apo chin 👇.
Hii ina maana waliopiga oral TRA,n kwamba wameshatumiwa majibu yao aau.?
View attachment 2813116
Ningeshangaa sana aiseHuyu hayupo saw Post ya trh 8 Nov anasema week iliyopita wkt Oral zilianza trh 6 Nov kuna Sehemu kakwama kutunga story taye.