Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Nimeiona mjadara wa baadhi ya wadau kujua kama tayari wamesharamba asali TRA,
Na mm kwenye pita pita zangu nikakutana na icho kitu apo chin 👇.
Hii ina maana waliopiga oral TRA,n kwamba wameshatumiwa majibu yao aau.?
Screenshot_20231108-224204_Twitter.jpg
 
Ngoja nikushirikishe machache tu ambayo yanaendelea huku maofisini ujue jinsi Dunia ilivyokuwa haina USAWA....

Mimi binafsi ni mwaka wa 3 huu natafuta uhamisho (nishafanya Kazi miaka 10, kwahiyo Nina sifa zotee za kupata uhamisho) ila sasa...

Nikiwa na hustle na kutafuta uhamisho

1. Kuna watu wanapata Kazi (ajira mpya) wanakuja kureport, anarudi home kusubiri cheki namba.
Ile anaipata, hata hajaanza Kazi, anakuja na barua ya uhamisho kahamishiwa Taasisi fulani. Kwa halmashauri anatemana nayo kihivyo

UNADHANI HUYU HATA AJIRA ALIIPA NJIA KAMA YAKO?

2. Mmepata ajira mpya, wewe unawaza umfundishe Kazi ili umuachie ofisi uhame.
Na uhamisho hutoka baada ya mwaka wa ajira (ukishathibitishwa).
Ndani chini ya mwaka mtu anakuja na barua ya uhamisho na anasepa anakuacha wewe wa miaka hapohapo.

3. Siku umekaa unahili wala lile, unashangaa DED kamind. Kisa kapokea simu kutoka juuu huko "mtumishi fulani anatakiwa ahame haraka"

Braza hii Dunia japo Kuna Mungu, ila Kuna watu Wana WATU, sio watu ni WATU.

Mungu akujalie upate ajira, ipo siku UTANIELEWA.

Karibu kwenye Utumishi wa Umma.

#YNWA
Insha'Allah
 
Huyu hayupo saw Post ya trh 8 Nov anasema week iliyopita wkt Oral zilianza trh 6 Nov kuna Sehemu kakwama kutunga story taye.
Nimeiona mjadara wa baadhi ya wadau kujua kama tayari wamesharamba asali TRA,
Na mm kwenye pita pita zangu nikakutana na icho kitu apo chin 👇.
Hii ina maana waliopiga oral TRA,n kwamba wameshatumiwa majibu yao aau.?
View attachment 2813116
 
Nimejaribu huu mfumo mpaka sasa haujatoa majibu kwa sababu Waajiri na MaHR hawajajua namna ya kutumia

Sent from my SM-N950F using JamiiForums mobile app
Kengine...
Inategemea wewe na kada yako.
Hivi ni muhasibu gani atakubali atoke DSM aende ukerewe?
Hii mifuml inafaa Kwa wale wa kada yenye watumishi wengi kama walimu, afya na watendaji.
Kada nyengine unakuta halmashauri yote mpo wawili au mmoja, nani sasa atakubali atoke Mwanza aende Mpimbwe?

#YNWA
 
Nimeiona mjadara wa baadhi ya wadau kujua kama tayari wamesharamba asali TRA,
Na mm kwenye pita pita zangu nikakutana na icho kitu apo chin 👇.
Hii ina maana waliopiga oral TRA,n kwamba wameshatumiwa majibu yao aau.?
View attachment 2813116
Hakuna aliyetumiwa majibu ila Kuna watu Wana mkononi mrefu.
Ni rahisi wao kupata taarifa.

#YNWA
 
Mimi nimepata shortlisted for written afu then imepotea ikabaki received je shida yaweza kuwa nini?
 
Kila mtu ana ndoto zake,Mimi nimesoma diploma ya kilimo na degree ya wanyamapoli,alafu ajira nikaajiriwa wizaran,wizara ya kilimo kwa level ya diploma,so nawaza Sana maana nikiendelea kukaa huku, degree yang haina thaman hapa wizara ya kilimo,inabidi kufanya mchakato niame wizara ya maliasili au taasisi zake(TANAPA, TAWA au ngorongoro)bado Nina safari ndefu sana japo asali ya wizaran ni TGS Ila posho,safari na extra duty kibao
 
IMG_4268.jpg

IMG_4314.jpg

Mwanzo nilikuta stutas inasoma SHORTLISTED ila ilikua nikigonga “view timetable “ inanambia “not found” baada ya siku moja ikarudi “Received “ je hii nayo imekaaje wazee[emoji26][emoji26][emoji26]nna miezi mi 5 tangu ni apply na bado sijaitwa kwenye usahili MUHIMBILI sijui ni lini wata tu CALL FOR INTERVIEW...msaada wenu wazoef
 
Back
Top Bottom