Changamoto ni moja PSPR washatoa bonge la sheet linalosema mifumo na uwakibikaji wao sema ni vile hatupendagi kusoma ila kila kitu kiko available kwenye mitandao Yao sasa basi.... PSPR awawezi kupeleka mtu placement bila ya taasisi husika kumuhitaji mtu uyo kwa sasa ila inshort mchakato wa usaili hauna muda maalumu its depending na wahusika katika taasisi wanamuhitaji mwajiliwa immediately au 5month leter after kutoa kibali..[emoji1488][emoji599]akhsanteni....ila kuanzia juma4 wale tunaosubiria saili na placement zinaanza kumiminika lengo ni January watu wawe wanaramba asali